Non classé
Fizi : mapigano kati ya kundi la Mai Mai na Twirwaneho
Mapigano makali yanaripotiwa tangu asubuhi ya jumatatu hii kati ya kundi la Mai Mai Biloze Bishambuke dhidi ya wapiganaji wa kundi la silaha la Twirwaneho linaloundwa na vijana Banyamulenge. Makundi
Uvira : zaidi ya watu wengine 300 kutoka Burundi wakimbilia nchini DRC
Wanapewa hifadhi katika kambi ya muda ya Sange ndani ya wilaya ya Uvira mkoa wa kivu-kusini (mashariki mwa DRC) tangu siku chache zilizopita. Wahusika ni kutoka hususan katika mikoa ya
Tanzania : viongozi tawala wawahamasisha wakimbizi kuhusu kuheshimu sheria ambazo wao wanazikiuka kila mara
Wiki mbili zilitumiwa kuwahamasisha kuhusu sheria za nchi na zile zinazowahusu wakimbizi ndani ya kambi za Nduta na Nyarugusu. Wakimbizi waligundua kuwa wanalindwa na sheria nzuri lakini nchi iliyowapa hifadhi
Burundi: former Prime Minister Alain Guillaume Bunyoni sanctioned again by the U.S
Alain Guillaume Bunyoni returns again to the list of personalities under U.S. sanctions. The United States accuses him of being involved in “serious human rights violations”. INFO SOS Médias Burundi
Burundi: Mashirika yasiyokuwa ya hisani yalazimishwa kutoa nauli viongozi tawala ili kuwasili uwanjani
Washirika wanaohudumu katika maeneo yoyote ya nchi sasa wataanza kuandaa bajeti kwa ajili ya kugharamia ziara za viongozi tawala. Hayo ni kwa ajili ya kuwawezesha kufika uwanjani kukagua hatua iliyopigwa
Bubanza: Mbunge Fabien Banciryanino aibua mjadala
Katika sherehe za kuomboleza mauwaji ya rais Melchior Ndadaye, mbunge wa zamani Fabien Banciryanino aliweka shaada za mauwa ambako ameandika kuwa demokrasia ilidaiwa na Ndadaye haijaonekana. Jambo hilo limeibua mjadala.
Bubanza: former MP Fabien Banciryanino sparks controversy
On the occasion of the commemoration of the assassination of President Melchior Ndadaye, former deputy Fabien Banciryanino brought a flower on which is inscribed that the democracy that Ndadaye advocated
Muramvya: a member of the CNL in detention for a month
Honoré Ruberintwari, a member of the CNL was arrested at his home around 8 p.m. by three police officers under the command of former Mp Rémégie Bazirahomponyoye. It was September
Nyanza-Lac: residents forced to sell their land at derisory prices to CNDD-FDD dignitaries
For months, residents in Gasaba village in Nyanza-Lac district (Makamba province, Southern Burundi) have been forcibly selling their land at derisory prices. Imbonerakure (members of the CNDD-FDD youth league) threaten
Muyinga: Zaidi ya wapinzani 50 wanazuiliwa jela
Wananchi ambao kwa sehemu kubwa ni waumini wa dini ya kislam wanazuiliwa katika gereza la polisi Muyinga (Kaskazini-mashariki mwa Burundi) tangu jumapili tarehe 9 oktoba.Wanatuhumiwa kufanya mkutano kinyume cha sheria
- 1
- 2