Afya
Nyanza-Lac: wanaume watatu walikamatwa na kupelekwa kusikojulikana
Wanaume watatu walikamatwa Jumamosi hii, Mei 18, na mkuu wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (SNR) ya Nyanza-Lac na kamishna wa polisi wa mkoa, baada ya upekuzi nyumbani kwao. Sababu
Mkoa wa Bujumbura: takriban kesi thelathini za kipindupindu zilizorekodiwa katika ukanda wa Rubirizi
Wizara ya Afya ilipokea vifaa vya matibabu ya wagonjwa wa kipindupindu kutoka UNICEF Ijumaa hii. Katika wiki moja tu, zaidi ya kesi 30 zilirekodiwa katika ukanda wa Rubirizi pekee, wilaya
Burundi: hivi karibuni chanjo dhidi ya malaria kwa watoto chini ya miaka miwili
Tangazo hilo lilitolewa Alhamisi hii katika taarifa kwa vyombo vya habari kutoka kwa wizara inayosimamia afya ya umma. Hii ilikuwa wakati Burundi ilipoungana na dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya
Burundi: dawa za bure katika uwanja wa afya ya akili ni matakwa ya wataalamu wa kisaikolojia
Kituo kikuu cha magonjwa ya akili katika Kamenge (kaskazini mwa jiji la kibiashara la Bujumbura) hakiwezi leo kutosheleza maombi yote ya huduma kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa. Katika mwaka
Burundi: upangaji uzazi, njia mwafaka ya kupambana na demografia ya kurukaruka
Viongozi wanawake wametakiwa kuongoza katika vita dhidi ya utapiamlo. Haya yalisemwa katika mji mkuu wa kiuchumi Bujumbura ambao uliandaa kati ya Jumatatu na Jumatano toleo la nne la Jukwaa la
Burundi : ni lazima iwepo sera ya misharaha inayovutia ili kuwazuia waganga kwenda nje ya nchi (Chama cha wafanyakazi)
Mishahara midogo pamoja na ukosefu vifaa vya kutosha ndio sababu kuu ya waganga wa Burundi kutoroka na kwenda kuhudumu katika nchi zingine. Ni tamko la kiongozi wa chama cha kutetea
Nduta (Tanzania) : uhaba mkubwa wa damu wakati wa mripuko wa malaria
Damu zimekosekana katika vituo vya afya ndani ya kambi ya Nduta nchini Tanzania. Sababu kuu ya hali hiyo ni watoa damu kuacha kutoa damu kutokana na ukosefu wa chakula kuzuri.
Kakuma (Kenya) : maradhi ya usafi mdogo yatishia waomba hifadhi
Maradhi ya usanifishaji mdogo yanashuhudiwa kwenye kituo cha mapokezi ya waomba hifadhi ndani ya kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya . Kituo kicho kimeathirika zaidi kutokana na msongamano wa
Bujumbura : wakaazi wasumbuka kupata maji safi
Maji safi yamekuwa adimu katika kata za kaskazini na kusini mwa jiji kuu la kiuchumi. Katika baadhi ya kata, wakaazi wanaweza kumaliza wiki moja bila kupata huduma hiyo. Wananchi wanahofia
Kivu-kaskazini : MSF yatahadharisha kuhusu janga la kibinadamu kutokea eneo la mashariki mwa DRC kutokana na usalama mdogo
Janga la kibinadamu linaendelea kutokea katika mkoa wa Kivu kaskazini mashariki mwa DRC, lilitahadharisha shirika la MSF la waganga wasiokuwa na mipaka. Shirika hilo la waganga la kimataifa linatoa mwito
