Haki za binadamu
Rwanda: wakimbizi wa Kitutsi wa Kongo waandamana kupinga mauaji ya kimbari yanayowalenga nchini DRC
Walikuwa ni wakimbizi kutoka kambi za Kiziba na Nkamira zilizoko katika wilaya za Karongi na Rubavu za Mkoa wa Magharibi ambao waliandamana siku ya Jumatatu. Wanashutumu “mauaji ya halaiki” yaliyofanywa
Burundi:Hata kama imekosolewa, mamlaka ya mwandishi maalum wa Umoja wa Mataifa yaongezwa
Ilikuwa ni kikao cha Alhamisi hii ambacho kilipiga kura ya kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mamlaka ya Burkinabè Fortune Gaétan Zongo. Mwandishi Maalum kuhusu Burundi anakosolewa ndani na serikali na
Burundi: upangaji uzazi, njia mwafaka ya kupambana na demografia ya kurukaruka
Viongozi wanawake wametakiwa kuongoza katika vita dhidi ya utapiamlo. Haya yalisemwa katika mji mkuu wa kiuchumi Bujumbura ambao uliandaa kati ya Jumatatu na Jumatano toleo la nne la Jukwaa la
Gitega : hakuna sheria miaka 27 baada ya mauwaji ya askofu Joachim Ruhuna
Askofu Joachim Ruhuna mkuu zamani wa dayosezi ya Gitega aliuwawa tarehe 9 septemba 1996. Mauwaji hayo yalifanyika karibu na mto wa Mubarazi. Katika kipindi hicho, maeneo ya Bugendana na Mutaho
Burundi : hutba ya rais Neva itaimarisha vitendo vya uhalifu vinavyotekelezwa na Imbonerakure, kwa mujibu wa Carina Terksakian
Rais Evariste Ndayishimiye jumamosi tarehe 26 agosti 2023, alisifisu jukumu la Imbonerakure katika kufanya doria za usiku na kulinda mipaka. Kwa mujibu wa Carina Terksakian, mtafiti mshirika katika shirika la
Tanzania : biashara haramu ya watoto wa kike ambao ni wakimbizi kutoka Burundi kambini
Inashuhudia ” biashara ya wasichana wadogo” katika kambi za wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania. Wanaolengwa zaidi ni wasichana wenye umri chini ya miaka 18. Wanaelekea hasa katika miji ya Mwanza,
Burundi : ni budi kuwa makini katika kuwatuma wasichana nchini Saudi Arabia, alisema mke wa rais
Mke wa rais wa Burundi analaani kuona wasichana wadogo wakiacha shule na kutoroka maeneo yao ya asili na kwenda kutafuta ajira katika nchi za warabu. Angeline Ndayishimiye alitoa wito kwa
Kivu-kaskazini : watetezi wa haki za binadamu wako hatarini katika maeneo ya migogoro ya silaha
Watetezi wa haki za binadamu katika wilaya ya Rutshuru wanatahadharisha kuhusu vitisho dhidi yao kutoka kwa viongozi wa makundi ya waasi. Wanatoa takwimu za wanaharakati 18 waliouwawa na makundi ya
Uvira : watu wawili wauwawa
Watu hao ni wanaume wawili wa jamii ya Banyamulenge. Waliuwawa na watu wanaobebelea silaha ambao wanadaiwa kuwa ni waasi wa kundi la Mai Mai jumapili hii alasiri. Kisa kilitokea katika
Cibitoke : Zaidi ya wafungwa 180 ndani ya gereza ndogo ya polisi
Watu 178 wanazuiliwa ndani ya gereza ya kamishna ya polisi mkoani Cibitoke (kaskazini magharibi mwa Burundi) ambayo ina urefu wa mita 8 kwa upana wa mita 4. Idadi kubwa ya