Siasa

Usalama

Rutana-Giharo : viongozi wa chama tawala walazimisha wapinzani kutoa michango kwa ajili ya siku kuu yao

Kulingana na mkuu wa chama cha CNL tarafani Giharo mkoa wa Rutana (kusini mashariki mwa Burundi), viongozi wa eneo hilo wa chama tawala walitoa mamlaka kwa Imbonerakure ( wajumbe wa

Utawala

DRC-Goma : serikali ya Kongo haijakuwa tayari kuzungumza na kundi la M23

Akiwa ziarani mjini Goma, waziri wa mawasiliano Patrick Muyaya aliongoza mkutano na wandishi wa habari jumatatu hii. Mahojiano na wandishi wa habari yaliangazia hali ya usalama katika eneo hilo la

Haki za binadamu

Bujumbura : kongamano lisilokuwa la kawaida la chama cha CNL lasimamishwa kwa kosa “la tahajia”

Kutokana na kosa katika kuandika barua inayotumwa kwa waziri wa mambo ya ndani, chama cha upinzani cha CNL kilizuiliwa kuandaa kongamano lake kuu lililokuwa limepangwa kufanyika mchana wa ijumaa tarehe

Siasa

Ngozi : mfuasi wa chama cha CNL apatikana akiwa maiti

Muili wa Gilbert Ndacayisaba mwenye umri wa miaka 47 ulipatikana katika shamba la miti ya mikaratusi alhamisi mchana. Mkaazi huyo wa kijiji cha Karungura tarafani Mwumba mkoa wa Ngozi (Kaskazini