Uchumi
Bujumbura: bidhaa za Brarudi zinazidi kuwa adimu, bei yake inapanda na uongozi unafumbia macho
Katika siku za hivi karibuni, imekuwa vigumu kupata baadhi ya bidhaa kutoka Brasserie et lemonaderie du Burundi (Brarudi) katika jiji la kibiashara la Bujumbura. Wamiliki wa baa wanasema vinywaji na
Burundi: kati ya maeneo mia moja ya kitalii yaliyotambuliwa, ni saba tu ndiyo yameendelezwa
Kulingana na tafiti zilizofanywa na kurugenzi kuu ya utalii nchini Burundi, zaidi ya maeneo mia moja ya watalii yametambuliwa. Kulingana na chanzo hicho hicho, ni tovuti saba tu kati ya
Bujumbura : kazi zavurugika kutokana na umeme unaokatika mara kwa mara
Hali ya umeme kukatika mara kwa mara inaripotiwa katika mji mkuu wa kiuchumi wa Bujumbura. Wakaazi wanalalamika huku wafanyabiashara wanaoendesha shughuli za kibiashara wakidai kupata hasara kubwa. Mamlaka ya maji
Burundi : bei ya mbolea ya kizungu yapandishwa
Serikali ya Burundi ilipandisha bei ya mbolea ya kizungu. Hayo yalifahamishwa na waziri wa kilimo katika mkutano na wandishi wa habari alhamisi tarehe 14 septemba iliyopita. Sanctus Niragira alisisitiza kuwa
Burundi : bei ya tiketi ya usafiri yapanda
Waziri wa biashara alitangaza jumatano hii bei mpya na nauli ya usafiri ndani ya mji mkuu wa kiuchumi wa Bujumbura na katika ya mikoa. Bei ya tiketi ndani basi mjini
Burundi : bei ya mafuta ya gari yapanda kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi miwili
Bei ya mafuta ya gari aina ya petroli (essence) ilitoka kwenye bei ya 3895 na kupanda hadi 4550 sarafu za Burundi sawa na ongezeko la franka 665. Bei ya mazout
Musigati : amri ya kung’oa heka 50 za mashamba ya miwa
Mkuu wa tarafa alichukuwa uamzi wa kupiga marufuku miwa katika bonde la tarafa ya Musigati mkoa wa Bubanza (magharibi mwa Burundi). Zao hilo litatoa nafasi kwa mazao mengine ya vyakula,
Burundi : tatizo la uhaba wa mafuta, majibu yake bado kupatikana
Baada ya miezi 18 ya uhaba wa mafuta ya gari, viongozi wa Burundi hawawapi moyo wananchi. Wanachukuwa hatua zisizodumu. Wanaharakati upande wao, wanaomba mkutano mkuu ufanyike kuhusiana na tatizo hilo.
Burundi : nchi imeorodheshwa katika nchi za kwanza ambako rushwa imekithiri
Maadhimisho ya siku ya Afrika dhidi ya rushwa tarehe 11 julai 2023 : hakuna maendeleo makubwa kwa mujibu wa OLUCOME (shirika la kupambana na vitendo vya rushwa na matumizi mabaya
Burundi : noti mpya za elfu tano na elfu kumi zawekwa katika mzunguko wa pesa
Benki kuu ya Burundi (BRB) ilifamisha kuwa imeweka katika mzunguko wa pesa nchini Burundi noti mpya za elfu tano na elfu kumi kurejelea zile zilizotengenezwa tangu mwaka wa 2018. Gavana
- 1
- 2