Utawala

Utawala

Cibitoke: Chifu wa eneo la Mabayi anayeshutumiwa kwa kushirikiana na waasi wa Rwanda akamatwa

Chifu wa eneo la Mabayi alikamatwa Ijumaa iliyopita na maajenti wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (SNR). Anashutumiwa kwa kushirikiana na kusambaza waasi wa Rwanda wa FLN walioko katika hifadhi

Utawala

Burundi:Hata kama imekosolewa, mamlaka ya mwandishi maalum wa Umoja wa Mataifa yaongezwa

Ilikuwa ni kikao cha Alhamisi hii ambacho kilipiga kura ya kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mamlaka ya Burkinabè Fortune Gaétan Zongo. Mwandishi Maalum kuhusu Burundi anakosolewa ndani na serikali na

Utawala

Rwanda: Paul Kagame atangaza kugombea urais mwaka wa 2024

Paul Kagame, rais wa Rwanda ameambia gazeti la Jeune Afrique kuwa atagombea muhula wa nne katika uchunguzi mkuu wa 2024. Ilikuwa katika toleo la tarehe 19 septemba 2023. Mwezi aprili

Utawala

Burundi : viongozi wa Burundi wapiga marufuku kongamano la kimataifa la akinamama waumini wa kikristu

Viongozi wa Burundi alhamisi hii walifahamisha kuwa kongamano la kimataifa la kikristu la akinamama halitafanyika. Kongamano hilo liliandaliwa na shirika linaloongozwa na mchungaji kutoka Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani

Utawala

RDC-Burundi : rais Neva anaendelea kutafuta mikataba kwa ajili ya FDNB*

Burundi na jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo zilisaini makubaliano katika sekta ya ulinzi tarehe 28 agosti mjini Kinshasa mji mkuu wa RDC (jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo). Marais hao wawili

Utawala

Burundi : Imbonerakure zapewa sifa na kuhitajiwa

Rais wa Burundi ametoa sifa na kupongeza Imbonerakure (wajumbe wa tawi la vijana wafuasi wa chama cha CNDD-FDD, chama tawala) kwa jukumu lao katika kulinda mipaka ya nchi yake. Evariste

Utawala

Kesi-Bunyoni : sheria nchini Burundi yafunga akaunti za waziri mkuu wa zamani

Benki kuu ya Burundi BRB ( benki ya jamuhuri ya Burundi) ilitoa amri kwa mashirika ya fedha yote ili yasiruhusu kuondoa au kuweka pesa kwenye akaunti za waziri mkuu wa

Utawala

Burundi : nchi imepata mwendeshamashtaka mkuu mpya

Ni Léonard Manirakiza, ameidhinishwa jumanne hii na baraza la seneti. Wanaharakati wanasema kuwa hawataraji mambo makubwa kutoka kwake lakini wameamuru kujizuia kueleza chochote. HABARI SOS Médias Burundi Léonard Manirakiza ameidhinishwa

Diplomasia

Burundi – Rwanda : mke wa rais wa Burundi afanya ziara katika nchi jirani ambayo hadi sasa mumeo apata tabu kutembelea

Nchi ya Rwanda inapokea tangu jumatatu kongamano la sita la kimataifa la ” Women Deliver ” kuhusu usawa wa kijinsia. Mmoja kati ya wageni maluum ni mke wa rais wa

Utawala

Kesi-Bunyoni : waziri mkuu wa zamani alihamishwa katika gereza ya waliofanya jaribio la mapinduzi

Waziri mkuu wa zamani Alain Guillaume Bonyoni kwa sasa ni mkaazi wa gereza kuu ya Gitega (mji mkuu wa kisiasa). Alihamishwa kutoka jela ya Ngozi (kaskazini mwa Burundi). Wakati huo