Utawala
Burundi : tatizo la uhaba wa mafuta, majibu yake bado kupatikana
Baada ya miezi 18 ya uhaba wa mafuta ya gari, viongozi wa Burundi hawawapi moyo wananchi. Wanachukuwa hatua zisizodumu. Wanaharakati upande wao, wanaomba mkutano mkuu ufanyike kuhusiana na tatizo hilo.
Burundi : ni mapema kubainika wazi madhambi ya Bunyoni
Mahakama kuu ya Burundi alhamisi hii ilifahamisha kuwa mwendeshamashtaka mkuu wa jamuhuri anaendelea kutafuta mashtaka mapya dhidi ya Bunyoni. Msemaji wa mahakama kuu na ofisi ya mwendeshamashtaka mkuu aliyefahamisha hayo,
Burundi : nchi imeorodheshwa katika nchi za kwanza ambako rushwa imekithiri
Maadhimisho ya siku ya Afrika dhidi ya rushwa tarehe 11 julai 2023 : hakuna maendeleo makubwa kwa mujibu wa OLUCOME (shirika la kupambana na vitendo vya rushwa na matumizi mabaya
DRC : raia wa Kongo waelekea kupata kadi ya uraia
Mkataba ulitiwa saini alhamisi hii tarehe 8 juni kati ya tume ya kitaifa ya uchaguzi (CENI), ofisi ya kitaifa ya utambulisho na wananchi (ONIP) pamoja na idara ya kitaifa ya
Kayogoro : wafuasi wa vyama vya upinzani watiwa wasi wasi na sensa inayofanyika
Wafuasi wa vyama vya upinzani wanasema kuwa wanahofia mabaya kutokea kufuatia sensa iliyoanza jumatano tarehe 7 juni katika kijiji vyote vya tarafa ya Kayogoro mkoa wa Makamba (kusini mwa Burundi)
Burundi : Maadhimisho ya siku ya kitaifa ya shujaa wa uzalendo bila ujumbe rasmi
Alhamisi hii, Burundi iliadhimisha kwa mara ya tatu siku ya kitaifa ya uzalendo ambayo pia ni kwa niaba ya rais Nkurunziza aliyepandishwa na kupewa hadhi ya mfano na shujaa wa
Burundi: utawala wa rais Ndayishimiye unafanya mauwaji kama ule wa mtangulizi wake Nkurunziza
Shirika la kutetea haki za binadamu la Iteka linatoa tahadhari . Katika ripoti yake ya mwisho, shirika hilo la zamani kabisa la kutetea haki za binadamu nchini Burundi limetoa orodha
Kuhusu-Bunyoni : kamanda wa kikosi cha kutuliza ghasia abadilishwa
Ni wizara ya mambo ya ndani na usalama iliyochukuwa uamzi huo. Kanali wa polisi Désiré Uwamahoro aliyekuwa kiongozi wa kikosi kinachokosolewa cha kutuliza ghasia (BAE) alirejelewa na kanali mwingine. Jonathan
Kuhusu-Bunyoni: mahakama kuu imeanza uchunguzi dhidi ya Bunyoni
Korti kuu ya jamuhuri ya Burundi imeamuru kufungua uchunguzi kuhusu kushughulikia kisheria kesi dhidi ya Bunyoni. Mwendeshamashtaka mkuu wa jamuhuri amefahamisha hayo katika tangazo lake jumapili hii. Hata hivyo, tume
Burundi : tume ya haki za binadamu imethibitisha kukamatwa kwa Bunyoni
Tume huru ya kitaifa ya haki za binadamu (CNIDH) imetangaza hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter. Sixte Vigny Nimuraba kiongozi wa tume hiyo alihakikishia SOS Médias Burundi kuwa amemuona aliyekuwa