DRC Sw
Kivu Kusini: FDNB Yaimarisha nafasi yake dhidi ya M23 na washirika wake wa Twirwaneho
SOS Médias Burundi Bukavu, Oktoba 16, 2025 – Licha ya kutiwa saini kwa makubaliano ya kusitisha mapigano mnamo Oktoba 14 huko Doha kati ya serikali ya Kongo na waasi wa
Mgogoro nchini DRC: Makubaliano ya awali yafikiwa kati ya AFC-M23 na Kinshasa
SOS Médias Burundi Goma, Oktoba 14, 2025 — Baada ya wiki kadhaa za mazungumzo yenye mvutano, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na waasi wa M23 walifikia hatua kubwa Jumanne
DRC: FARDC inaitaka FDLR kuweka silaha chini kama sehemu ya mkataba wa Washington
SOS Médias Burundi Goma, Oktoba 11, 2025 – Huku kukiwa na mvutano unaoendelea mashariki mwa DRC, FARDC inaitaka FDLR kuweka silaha zao chini, huku uhusiano kati ya baadhi ya wanajeshi
DRC: Maaskofu wakatoliki wapinga hukumu ya kifo aliyopewa Joseph Kabila
SOS Médias Burundi Goma, Oktoba 7, 2025 – Hukumu ya kifo iliyotolewa kwa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Joseph Kabila, na Mahakama Kuu ya Kijeshi ya
Picha ya wiki-Bujumbura:Wakongo wakamatwa kwa wingi, hofu yatanda katika mji mkuu
Hali ya hofu na kutokuwa na uhakika imetanda miongoni mwa jamii ya Wakongo wanaoishi Bujumbura, mji mkuu wa kiuchumi wa Burundi. Chanzo: msururu wa misako na ukamataji uliofanywa katika siku
DRC: Joseph Kabila ahukumiwa kifo na mahakama ya kijeshi
SOS Médias Burundi Goma, Oktoba 1, 2025 – Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, alihukumiwa kifo Jumanne hii, Septemba 30, na Mahakama Kuu ya Kijeshi
Masisi: Zaidi ya wanawake 70 walibakwa katika MPATI, waliotelekezwa na familia zao
SOS Médias Burundi Goma, Septemba 29, 2025 – Mji wa MPATI, ulioko katika eneo la kichifu la Bashali, eneo la Masisi, umekuwa kitovu cha mapigano tangu Aprili 2023 kati ya
Kivu Kusini: Mji wa kimkakati wa Nzibira uko mikononi mwa M23, huku Kindu na Kisangani zikiwa kwenye makutano.
SOS Médias Burundi Bukavu, Septemba 23, 2025 – Mji wa madini wa Nzibira, katika eneo la Walungu, Kivu Kusini, ulidhibitiwa na waasi wa M23 Jumapili, Septemba 21, kufuatia mapigano makali
Migogoro Nchini DRC: Kiini cha mzozo unaotanda nagharibi mwa Burundi
SOS Médias Burundi Bujumbura, Septemba 18, 2025 – Magharibi mwa Burundi, mipaka iko chini ya mvutano mkubwa. Kundi la M23, ambalo lilikuwa ni kundi la waasi wa Kitutsi nchini DRC
Ferdinand Nyabenda, ambaye aliangukia mstari wa mbele nchini DRC: familia yake inadai haki na mazishi ya heshima
SOS Médias Burundi Cibitoke, Septemba 18, 2025 – Miezi mitatu baada ya kifo cha baba yao katika mstari wa mbele nchini DRC, familia ya Ferdinand Nyabenda, anayeitwa Bikorwa, bado inasubiri
