Burundi: kati ya maeneo mia moja ya kitalii yaliyotambuliwa, ni saba tu ndiyo yameendelezwa
Burundi: kati ya maeneo mia moja ya kitalii yaliyotambuliwa, ni saba tu ndiyo yameendelezwa
Kulingana na tafiti zilizofanywa na kurugenzi kuu ya utalii nchini Burundi, zaidi ya maeneo mia moja ya watalii yametambuliwa. Kulingana na chanzo hicho hicho, ni tovuti saba tu kati ya
DRC (Kivu Kaskazini): M23 inarudi kwenye nyadhifa za zamani
Vuguvugu la Machi 23 (M23) limeteka upya maeneo ambayo iliyaacha kama sehemu ya usitishaji mapigano uliotakiwa na Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki tangu Desemba 2022. Kamati ya
Kesi-Bunyoni: Waziri mkuu huyo wa zamani anachukizwa na hali ya kinyama ya kuwekwa kizuizini na kuomba aachiliwe kwa muda
Kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza Alhamisi kwa Waziri Mkuu wa zamani Alain Guillaume Bunyoni mbele ya Mahakama ya Juu. Kesi hiyo ilifanyika katika gereza kuu la Gitega, chini ya
Nyarugusu (Tanzania) : zaidi ya wakimbizi mia moja wenye asili ya Burundi walazimishwa kurejea makwao kwa nguvu
Kwa sababu ya kutokuwepo wakati wa sensa kwa ajili ya uhakikisho ya mwaka wa 2021, shirika linalowahudumia wakimbizi (HCR), liliondoa wakimbizi wenye uraia wa Burundi zaidi ya mia moja kwenye
Rwanda: Paul Kagame atangaza kugombea urais mwaka wa 2024
Paul Kagame, rais wa Rwanda ameambia gazeti la Jeune Afrique kuwa atagombea muhula wa nne katika uchunguzi mkuu wa 2024. Ilikuwa katika toleo la tarehe 19 septemba 2023. Mwezi aprili
Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai
Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya
Burundi : ni lazima iwepo sera ya misharaha inayovutia ili kuwazuia waganga kwenda nje ya nchi (Chama cha wafanyakazi)
Mishahara midogo pamoja na ukosefu vifaa vya kutosha ndio sababu kuu ya waganga wa Burundi kutoroka na kwenda kuhudumu katika nchi zingine. Ni tamko la kiongozi wa chama cha kutetea
Cibitoke: wanajeshi sita wasimamishwa baada ya kupurukushana na Imbonerakure
Wanajeshi hao sita walikuwa wakifanyia kazi kwenye kituo cha Ruhagarika . Ni katika tarafa ya Buganda ndani ya mkoa wa Cibitoke kaskazini magharibi mwa Burundi karibu na mto wa Rusizi
Bujumbura : kazi zavurugika kutokana na umeme unaokatika mara kwa mara
Hali ya umeme kukatika mara kwa mara inaripotiwa katika mji mkuu wa kiuchumi wa Bujumbura. Wakaazi wanalalamika huku wafanyabiashara wanaoendesha shughuli za kibiashara wakidai kupata hasara kubwa. Mamlaka ya maji
Burundi : bei ya mbolea ya kizungu yapandishwa
Serikali ya Burundi ilipandisha bei ya mbolea ya kizungu. Hayo yalifahamishwa na waziri wa kilimo katika mkutano na wandishi wa habari alhamisi tarehe 14 septemba iliyopita. Sanctus Niragira alisisitiza kuwa