Mpanda: maiti iliyokutwa kwenye shamba la michikichi
Mwili wa Emmanuel Hakizimana ulipatikana katika shamba la michikichi lililopo eneo la Musenyi. Iko katika wilaya ya Mpanda katika jimbo la Bubanza (magharibi mwa Burundi). Mshukiwa amekamatwa.
HABARI SOS Media Burundi
Emmanuel Hakizimana (umri wa miaka 40) alifanya kazi kama mlinzi katika mashamba ya michikichi ya mafuta kwenye mali ya Muhashi, katika eneo la Musenyi.
Mwili wake ulipatikana ukiwa katika shamba hili Jumatano asubuhi.
Kulingana na vyanzo vya usalama, aliuawa na kunyongwa.
Uchunguzi unaoendelea ulipelekea kukamatwa kwa mwenzake. Anashikiliwa katika selo ya kituo cha polisi Mpanda.
You might also like
RDC (Ituri) : angalau wananchi 40 waliuwawa na waasi wa CODECO
Vijiji vitatu vya eneo la Banyali Kilo, wilayani Djugu katika mkoa wa Ituri mashariki mwa DRC vililengwa na mashambulizi ya wakati mmoja ya waasi wa CODECO (shirikisho kwa ajili ya
Ituri: watoto waangamia katika mashambulizi ya makundi ya silaha mkoani Ituri
Tangu disemba 2022, angalau watoto 60 waliuwawa katika vurugu za makundi ya silaha mkoani Ituri kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo. Takwimu hizo zilitolewa na ujumbe wa shirika
Burundi: kupanga uzazi, mada motomoto kwa familia nyingi za Burundi
Maisha yamekuwa ghali sana Burundi. Kulisha familia kubwa, haswa katika miji ambayo watu wengi wanapata tu mishahara yao kama chanzo cha mapato ili kuhakikisha elimu ya watoto wao, matibabu, mavazi
