Mpanda: maiti iliyokutwa kwenye shamba la michikichi
Mwili wa Emmanuel Hakizimana ulipatikana katika shamba la michikichi lililopo eneo la Musenyi. Iko katika wilaya ya Mpanda katika jimbo la Bubanza (magharibi mwa Burundi). Mshukiwa amekamatwa.
HABARI SOS Media Burundi
Emmanuel Hakizimana (umri wa miaka 40) alifanya kazi kama mlinzi katika mashamba ya michikichi ya mafuta kwenye mali ya Muhashi, katika eneo la Musenyi.
Mwili wake ulipatikana ukiwa katika shamba hili Jumatano asubuhi.
Kulingana na vyanzo vya usalama, aliuawa na kunyongwa.
Uchunguzi unaoendelea ulipelekea kukamatwa kwa mwenzake. Anashikiliwa katika selo ya kituo cha polisi Mpanda.
You might also like
DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana
Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini
Burundi: kupanga uzazi, mada motomoto kwa familia nyingi za Burundi
Maisha yamekuwa ghali sana Burundi. Kulisha familia kubwa, haswa katika miji ambayo watu wengi wanapata tu mishahara yao kama chanzo cha mapato ili kuhakikisha elimu ya watoto wao, matibabu, mavazi
Bujumbura : uimarishwaji wa usalama mbele ya RTNB wasababisha wasi wasi
Wafanyakazi wa radio na televisheni ya Burin di (RTNB) kituo cha matangazo cha serikali, walishituka kuona ijumaa asubuhi, kikosi kikubwa cha usalama pamoja na uwepo wa mbwa wa polisi kwenye
