DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana
Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini ya udhibiti wa wapiganaji wa kundi la machi 23, M23 tangu mwaka jana. HABARI SOS Médias Burundi
Gavana aliwaomba wajumbe wake kuchukuwa hatua zote zinazostahili ili kupeleka vifaa kwenye mpaka wa Bunagana chini ya ulinzi wa kikosi cha kanda ya EAC.
Ni kwa lengo la kuangalia hali halisi ya huduma mbali mbali na kutoa taarifa kwa viongozi wao.
Alizungumzia hatua hiyo kupitia Tangazo, Willy Ngoma msemaji wa M23 alichukuwa hatua hiyo ya gavana wa mkoa wa Kivu kaskazini kama uchokozi .
Kundi la M23 lilichukuwa tena udhibiti wa eneo hilo la mpakani tarehe 22 julai 2022.
You might also like
Burunga: Mvuvi aliyeuawa na kiboko kwenye ufukwe wa ziwa Tanganyika
SOS Médias Burundi Rumonge, Septemba 7, 2025 – Msiba ulitokea Jumamosi usiku kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika. Mwili usio na uhai wa mvuvi uligunduliwa mapema asubuhi ya Septemba 7, si
Cibitoke: wachimbaji dhahabu haramu watatu wamekufa katika maporomoko ya ardhi
Takriban wachimbaji dhahabu haramu watatu waliuawa katika maporomoko ya ardhi alasiri ya Ijumaa Juni 28 kwenye sehemu ya 7 ya mlima wa Rusororo. Iko katika wilaya ya Rugombo katika mkoa
Ngozi : mfuasi wa chama cha CNL apatikana akiwa maiti
Muili wa Gilbert Ndacayisaba mwenye umri wa miaka 47 ulipatikana katika shamba la miti ya mikaratusi alhamisi mchana. Mkaazi huyo wa kijiji cha Karungura tarafani Mwumba mkoa wa Ngozi (Kaskazini
