DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana

DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana

Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini ya udhibiti wa wapiganaji wa kundi la machi 23, M23 tangu mwaka jana. HABARI SOS Médias Burundi

Gavana aliwaomba wajumbe wake kuchukuwa hatua zote zinazostahili ili kupeleka vifaa kwenye mpaka wa Bunagana chini ya ulinzi wa kikosi cha kanda ya EAC.

Ni kwa lengo la kuangalia hali halisi ya huduma mbali mbali na kutoa taarifa kwa viongozi wao.

Alizungumzia hatua hiyo kupitia Tangazo, Willy Ngoma msemaji wa M23 alichukuwa hatua hiyo ya gavana wa mkoa wa Kivu kaskazini kama uchokozi .

Kundi la M23 lilichukuwa tena udhibiti wa eneo hilo la mpakani tarehe 22 julai 2022.

Previous DRC : raia wa Kongo waelekea kupata kadi ya uraia
Next Cibitoke : Zaidi ya wafungwa 180 ndani ya gereza ndogo ya polisi

You might also like

Usalama

Mpanda: maiti iliyokutwa kwenye shamba la michikichi

Mwili wa Emmanuel Hakizimana ulipatikana katika shamba la michikichi lililopo eneo la Musenyi. Iko katika wilaya ya Mpanda katika jimbo la Bubanza (magharibi mwa Burundi). Mshukiwa amekamatwa. HABARI SOS Media

Usalama

Uvira (DRC): mfanyakazi wa ngono mwenye asili ya Burundi auawa

Esta. N aliuawa Septemba 1 katika chumba cha hoteli huko Uvira. Iko katika jimbo la Kivu Kusini mashariki mwa DRC. Muhusika wa mauaji hayo angekuwa mteja wake ambaye alitokomea porini.

Usalama

Burundi: Mamlaka yazuia vyama na wazazi kuadhimisha mauaji ya Kibimba na kuwataka kuweka shada la maua kwenye kaburi la watu wasiojulikana.

Kwa mwaka wa tano mfululizo, mamlaka ya Burundi inazuia AC-Génocide Cirimoso na wazazi wake kuadhimisha mauaji ya Kibimba. Mamlaka ya Burundi inaeleza kuwa Oktoba 21 ni tarehe iliyotengwa kwa ajili