DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana
Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini ya udhibiti wa wapiganaji wa kundi la machi 23, M23 tangu mwaka jana. HABARI SOS Médias Burundi
Gavana aliwaomba wajumbe wake kuchukuwa hatua zote zinazostahili ili kupeleka vifaa kwenye mpaka wa Bunagana chini ya ulinzi wa kikosi cha kanda ya EAC.
Ni kwa lengo la kuangalia hali halisi ya huduma mbali mbali na kutoa taarifa kwa viongozi wao.
Alizungumzia hatua hiyo kupitia Tangazo, Willy Ngoma msemaji wa M23 alichukuwa hatua hiyo ya gavana wa mkoa wa Kivu kaskazini kama uchokozi .
Kundi la M23 lilichukuwa tena udhibiti wa eneo hilo la mpakani tarehe 22 julai 2022.
You might also like
Kivu-Kaskazini : zaidi ya wananchi 200 waliuwawa katika kipindi cha mwezi mmoja eneo la Beni
Katika kitongoji cha Ruwenzori wilaya ya Beni mkoa wa Kivu-kaskazini (mashariki mwa DRC) , zaidi ya watu 200 waliuwawa katika kipindi cha mwezi mmoja. Takwimu hizo zinatolewa na ofisi ya
Buganda: Watu 288 waliokimbia makazi yao wanapata hifadhi katika eneo la Gateri
Tangu mwisho wa Novemba 2024, watu 288 waliohamishwa kutoka eneo la Gatumba, lililoko katika wilaya ya Mutimbuzi karibu na mpaka na Kongo, wamekaribishwa katika eneo la Gateri, katika wilaya ya
Uchaguzi wa wabunge na manispaa: wakati rangi za mamlaka zinawekwa kwa wafanyabiashara
SOS Médias Burundi Bujumbura, Mei 14, 2025 – Uchaguzi wa wabunge na manispaa unapokaribia nchini Burundi, dalili za utiifu kwa chama tawala, CNDD-FDD, zinavamia maeneo ya umma na ya kibinafsi.
