Archive

Wakimbizi

Nduta (Tanzania) : uhaba mkubwa wa damu wakati wa mripuko wa malaria

Damu zimekosekana katika vituo vya afya ndani ya kambi ya Nduta nchini Tanzania. Sababu kuu ya hali hiyo ni watoa damu kuacha kutoa damu kutokana na ukosefu wa chakula kuzuri.

Usalama

Kirundo : mvulana mmoja alifariki dunia baada ya kupigwa na Imbonerakure

Ezéchiel Ntahinduka, miaka 14 alifariki jumatatu tarehe 24 julai akiwa kwenye hospitali ya mkoa. Kwa mjibu wa mashahidi, kijana huyo wa kiume alifariki kutokana na kipigo aliyefanyiwa na Jean Marie

Wakimbizi

Nyiragongo : hali ya kibinadamu kwenye kituo cha wakimbizi cha adventiste Kasenyi inatisha

Wakimbizi hao wa ndani hawapokei msaada wowote. Ni hali inayozidisha udhaifu wao na hivyo kuwasukuma katika mitaa kuomba omba. Ni tahadhari ya mkuu wa kituo cha adventiste Kasenyi ambaye anazidi

Utawala

Burundi : nchi imepata mwendeshamashtaka mkuu mpya

Ni Léonard Manirakiza, ameidhinishwa jumanne hii na baraza la seneti. Wanaharakati wanasema kuwa hawataraji mambo makubwa kutoka kwake lakini wameamuru kujizuia kueleza chochote. HABARI SOS Médias Burundi Léonard Manirakiza ameidhinishwa

Wakimbizi

Tanzania : biashara haramu ya watoto wa kike ambao ni wakimbizi kutoka Burundi kambini

Inashuhudia ” biashara ya wasichana wadogo” katika kambi za wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania. Wanaolengwa zaidi ni wasichana wenye umri chini ya miaka 18. Wanaelekea hasa katika miji ya Mwanza,

Haki za binadamu

Burundi : ni budi kuwa makini katika kuwatuma wasichana nchini Saudi Arabia, alisema mke wa rais

Mke wa rais wa Burundi analaani kuona wasichana wadogo wakiacha shule na kutoroka maeneo yao ya asili na kwenda kutafuta ajira katika nchi za warabu. Angeline Ndayishimiye alitoa wito kwa

Wakimbizi

Nyarugusu (Tanzania) : maiti ya mwanamke mmoja yapatikana ndani ya shamba

Ni muili wa mwanamke ambaye hakutambulika. Ulipatikana kwenye mstari wa kutenganisha eneo linalokaliwa na raia wa Kongo na lile wa raia wenye asili ya Burundi. Uchunguzi tayari imeanza ili kutambua

Diplomasia

Burundi – Rwanda : mke wa rais wa Burundi afanya ziara katika nchi jirani ambayo hadi sasa mumeo apata tabu kutembelea

Nchi ya Rwanda inapokea tangu jumatatu kongamano la sita la kimataifa la ” Women Deliver ” kuhusu usawa wa kijinsia. Mmoja kati ya wageni maluum ni mke wa rais wa

Utawala

Kesi-Bunyoni : waziri mkuu wa zamani alihamishwa katika gereza ya waliofanya jaribio la mapinduzi

Waziri mkuu wa zamani Alain Guillaume Bonyoni kwa sasa ni mkaazi wa gereza kuu ya Gitega (mji mkuu wa kisiasa). Alihamishwa kutoka jela ya Ngozi (kaskazini mwa Burundi). Wakati huo

Usalama

Kivu-kaskazini : watetezi wa haki za binadamu wako hatarini katika maeneo ya migogoro ya silaha

Watetezi wa haki za binadamu katika wilaya ya Rutshuru wanatahadharisha kuhusu vitisho dhidi yao kutoka kwa viongozi wa makundi ya waasi. Wanatoa takwimu za wanaharakati 18 waliouwawa na makundi ya