Haki za binadamu

Utawala

Goma: kijana mdogo uuwawa na askali polisi katika kituo cha kuandika wapiga kura

Dieudonné Bagenda, miaka 20 aliuwawa kwa kupigwa risasi. Risasi lilimpata kichwani akiwa katika kituo cha kuorodhesha wapiga kura cha Byahi alhamisi hii katika kata ya Bujovu ndani ya mji wa

Haki za binadamu

Burundi: ICC yafikia hatua nyingine

Mahakama ya uhalifu wa kivita ICC inafahamisha kuwa uchunguzi nchini Burundi unaendelea vizuri na kwamba unaelekea kukamilika. Hatua inayofuata ni kutoa waranti wa kimataifa dhidi ya watuhumiwa. Mawakili watetezi wa