Jamii

Jamii

Burundi: Spika wa Bunge la Kitaifa anapiga marufuku manaibu kukemea mzozo uliopo na anakusudia kurejesha hukumu ya kifo kwa wale wanaovuruga uchumi

Baraza la bunge la Burundi mnamo Alhamisi lilichambua na kupitisha mswada wa kuunda bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa kifedha wa 2024-2025. Baadhi ya manaibu wamekashifu tangu Jumatano wakati

Uchumi

Gitega: Burundi haijawahi kubarikiwa hivi (Rais Ndayishimiye)

Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye alisema Jumamosi kwamba nchi yake inakabiliwa na uzalishaji kupita kiasi katika maeneo yote. Kulingana naye, taifa hilo dogo la Afrika Mashariki halijawahi kubarikiwa kama lilivyo

Jamii

Kirundo: Mchungaji wa kanisa anayeshukiwa kwa ujasusi kizuizini

Amon Binagana, mchungaji wa Kanisa la Méthodiste libre la Kajaga katika wilaya ya Mutimbuzi, jimbo la Bujumbura, magharibi mwa Burundi, amezuiliwa huko Kirundo (kaskazini) tangu Mei. Anatuhumiwa kwa ujasusi na

Jamii

Bujumbura: watoto waliokimbia makazi yao kufuatia mafuriko wafanya mtihani wa kitaifa katika mazingira magumu

Kuanzia Juni 4 hadi 6, 2024, mashindano ya kitaifa yanafanyika nchini Burundi kwa wanafunzi wa darasa la 9. Toleo la 2023-2024 linafanyika katika vituo 907. Kituo cha Mubimbi katika jimbo

Jamii

Bururi: kusikiliza vyombo vya habari uhamishoni bado ni kosa

Mkurugenzi wa Shule ya Upili ya Jumuiya ya Murehe katika jimbo la Bururi (kusini mwa Burundi), Germain Ntakarutimana, alikaa kizuizini kwa usiku kucha kwa kusikiliza matangazo ya Humura ya RPA

Jamii

Bujumbura: kazi za wanaume kuchukuliwa na wanawake

Gharama ya juu ya maisha na ustahimilivu: jana Bujumbura ilikaribisha wanawake wa teksi, wasaidizi wa waashi na wahandisi wa ujenzi (kazi za umma), leo ni wachinjaji wanaofika, na mashindano yanaahidi

Jamii

Picha ya wiki: jambo la sumu linatia uoga jijini Bujumbura

Imepita zaidi ya mwaka mmoja tangu visa vingi vya wagonjwa kuwasilisha dalili za sumu kuanza kutumia dawa za kienyeji. Inatosha kwamba mtu anahisi maumivu ndani ya tumbo au homa kidogo,

Jamii

Bujumbura: watoto waathirika wa gharama kubwa ya maisha

Bei ya vyakula inapanda siku hadi siku, maisha yamekuwa ghali sana. Kuwa na chakula cha kutosha ni tatizo kwa familia nyingi. Wale walio na watoto wadogo sasa wanasema kwamba haiwezekani

Jamii

Bujumbura: manung’uniko kutoka kwa wauzaji wa bia za kienyeji

Baada ya taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu usalama kutoka kwa msimamizi wa wilaya ya mjini ya Muha, katika mji mkuu wa kiuchumi wa Bujumbura, kuwaamuru wauzaji wa bia ya

Afya

Burundi : ni lazima iwepo sera ya misharaha inayovutia ili kuwazuia waganga kwenda nje ya nchi (Chama cha wafanyakazi)

Mishahara midogo pamoja na ukosefu vifaa vya kutosha ndio sababu kuu ya waganga wa Burundi kutoroka na kwenda kuhudumu katika nchi zingine. Ni tamko la kiongozi wa chama cha kutetea