Posts From SOS Médias Burundi
Burundi : Maadhimisho ya siku ya kitaifa ya shujaa wa uzalendo bila ujumbe rasmi
Alhamisi hii, Burundi iliadhimisha kwa mara ya tatu siku ya kitaifa ya uzalendo ambayo pia ni kwa niaba ya rais Nkurunziza aliyepandishwa na kupewa hadhi ya mfano na shujaa wa
Kuhusu-Bunyoni : kamanda wa kikosi cha kutuliza ghasia abadilishwa
Ni wizara ya mambo ya ndani na usalama iliyochukuwa uamzi huo. Kanali wa polisi Désiré Uwamahoro aliyekuwa kiongozi wa kikosi kinachokosolewa cha kutuliza ghasia (BAE) alirejelewa na kanali mwingine. Jonathan
Muyinga: Zaidi ya wapinzani 50 wanazuiliwa jela
Wananchi ambao kwa sehemu kubwa ni waumini wa dini ya kislam wanazuiliwa katika gereza la polisi Muyinga (Kaskazini-mashariki mwa Burundi) tangu jumapili tarehe 9 oktoba.Wanatuhumiwa kufanya mkutano kinyume cha sheria
Kabarore: walimu walazimishwa kutoa michango
Walimu katika tarafa ya Kabarore mkoa wa Kayanza (Kaskazini mwa Burundi) walilazimishwa kutoa michango ya pesa ili kufadhili miradi ya chama tawala cha CNDD-FDD. Wahusika wanatupilia mbali kile wanachoita “ukiukwaji