DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana

DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana

Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini ya udhibiti wa wapiganaji wa kundi la machi 23, M23 tangu mwaka jana. HABARI SOS Médias Burundi

Gavana aliwaomba wajumbe wake kuchukuwa hatua zote zinazostahili ili kupeleka vifaa kwenye mpaka wa Bunagana chini ya ulinzi wa kikosi cha kanda ya EAC.

Ni kwa lengo la kuangalia hali halisi ya huduma mbali mbali na kutoa taarifa kwa viongozi wao.

Alizungumzia hatua hiyo kupitia Tangazo, Willy Ngoma msemaji wa M23 alichukuwa hatua hiyo ya gavana wa mkoa wa Kivu kaskazini kama uchokozi .

Kundi la M23 lilichukuwa tena udhibiti wa eneo hilo la mpakani tarehe 22 julai 2022.

Previous DRC : raia wa Kongo waelekea kupata kadi ya uraia
Next Cibitoke : Zaidi ya wafungwa 180 ndani ya gereza ndogo ya polisi

You might also like

Usalama

Kirundo: Katibu Mkuu wa CNDD-FDD alitembelea Imbonerakure ya jumuiya za mpaka na Rwanda kuwataka kuwa waangalifu zaidi.

Révérien Ndikuriyo alifanya ziara Jumatatu hii, Septemba 30, katika jumuiya za Bugabira na Busoni, zinazopakana na nchi jirani ya Rwanda. Aliwataka kuwa waangalifu zaidi. Watendaji wa chama tawala wanahofia uwezekano

Usalama

Bujumbura: Mvua kubwa ilisababisha kifo cha mtu mmoja, kujeruhiwa na kusababisha hasara kadhaa

Jumatano hii mchana, mvua kubwa iliyochanganyikana na upepo mkali ilinyesha katika maeneo tofauti katika jimbo la Bujumbura (magharibi mwa Burundi). Mtoto alikufa, kadhaa kujeruhiwa na uharibifu wa nyenzo ulirekodiwa. HABARI

Utawala

Kirundo: Wakaazi wanashutumu michango ya kulazimishwa kwa ukumbusho wa Nkurunziza chini ya shinikizo kutoka kwa Imbonerakure

SOS Médias Burundi Kirundo, Mei 28, 2026 – Siku chache tu kabla ya sherehe rasmi zilizopangwa kufanyika Juni 8, 2026, huko Gitega, mji mkuu wa kisiasa wa Burundi ambako mkuu