DRC (Kivu kaskazini) : shughuli zaanza pole pole kwenye mpaka wa Bunagana
Gavana mwanajeshi wa jimbo la Kivu kaskazini Constant Ndima alitangaza kuwa harakati kwenye mpaka wa Bunagana (kati ya Uganda na DRC) ni lazima zianze tena . Eneo hilo liko chini ya udhibiti wa wapiganaji wa kundi la machi 23, M23 tangu mwaka jana. HABARI SOS Médias Burundi
Gavana aliwaomba wajumbe wake kuchukuwa hatua zote zinazostahili ili kupeleka vifaa kwenye mpaka wa Bunagana chini ya ulinzi wa kikosi cha kanda ya EAC.
Ni kwa lengo la kuangalia hali halisi ya huduma mbali mbali na kutoa taarifa kwa viongozi wao.
Alizungumzia hatua hiyo kupitia Tangazo, Willy Ngoma msemaji wa M23 alichukuwa hatua hiyo ya gavana wa mkoa wa Kivu kaskazini kama uchokozi .
Kundi la M23 lilichukuwa tena udhibiti wa eneo hilo la mpakani tarehe 22 julai 2022.
You might also like
Kayanza: Watu 19 wang’atwa na mbwa waliozurura huko Gahombo, chanjo ya kichaa cha mbwa imeisha
Hali ya kutisha inatikisa wilaya ya Gahombo, katika jimbo la Kayanza kaskazini mwa Burundi. Tangu Februari, wakazi 19 wameng’atwa na mbwa waliozurura, lakini bado hawawezi kupata matibabu ya kutosha kutokana
Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai
Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya
Kivu-kaskazini : watetezi wa haki za binadamu wako hatarini katika maeneo ya migogoro ya silaha
Watetezi wa haki za binadamu katika wilaya ya Rutshuru wanatahadharisha kuhusu vitisho dhidi yao kutoka kwa viongozi wa makundi ya waasi. Wanatoa takwimu za wanaharakati 18 waliouwawa na makundi ya
