Posts From David Irakoze
DRC: zaidi ya wanawake 25,000 walibakwa katika miaka 34
Zaidi ya wanawake 25,000 wamebakwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na makundi yenye silaha tangu kuanza kwa vita mwaka 1990. 87% yao wanatoka mashariki mwa nchi. Hii ilisababisha vyama
Burundi:Hata kama imekosolewa, mamlaka ya mwandishi maalum wa Umoja wa Mataifa yaongezwa
Ilikuwa ni kikao cha Alhamisi hii ambacho kilipiga kura ya kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mamlaka ya Burkinabè Fortune Gaétan Zongo. Mwandishi Maalum kuhusu Burundi anakosolewa ndani na serikali na
Nyarugusu (Tanzania) : zaidi ya wakimbizi mia moja wenye asili ya Burundi walazimishwa kurejea makwao kwa nguvu
Kwa sababu ya kutokuwepo wakati wa sensa kwa ajili ya uhakikisho ya mwaka wa 2021, shirika linalowahudumia wakimbizi (HCR), liliondoa wakimbizi wenye uraia wa Burundi zaidi ya mia moja kwenye
Burundi : bei ya mbolea ya kizungu yapandishwa
Serikali ya Burundi ilipandisha bei ya mbolea ya kizungu. Hayo yalifahamishwa na waziri wa kilimo katika mkutano na wandishi wa habari alhamisi tarehe 14 septemba iliyopita. Sanctus Niragira alisisitiza kuwa
Burundi : viongozi wa Burundi wapiga marufuku kongamano la kimataifa la akinamama waumini wa kikristu
Viongozi wa Burundi alhamisi hii walifahamisha kuwa kongamano la kimataifa la kikristu la akinamama halitafanyika. Kongamano hilo liliandaliwa na shirika linaloongozwa na mchungaji kutoka Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani
Bujumbura : uimarishwaji wa usalama mbele ya RTNB wasababisha wasi wasi
Wafanyakazi wa radio na televisheni ya Burin di (RTNB) kituo cha matangazo cha serikali, walishituka kuona ijumaa asubuhi, kikosi kikubwa cha usalama pamoja na uwepo wa mbwa wa polisi kwenye
Nyarugusu (Tanzania) : askali wanne wasimamishwa kwa tuhuma za jaribio la wizi
Askali polisi walifumaniwa wakifanya wizi ndani ya makaazi ya mfanyabiashara mmoja katika kambi ya Nyarugusu. Polisi hao walikamatwa pamoja na walinzi wa kawaida watatu wa kambi. Wakimbizi wanaomba adhabu kali
DRC (Mulongwe) : wakimbizi wanaotafuta kuuni za kupikia waathiriwa na ubakaji
Katika kambi ya wakimbizi wa Mulongwe ndani ya mkoa wa Kivu kusini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, wakimbizi wanakabiliwa na ukosefu wa kuuni za kupikia. Wakimbizi hao hususan
Bubanza : shambulio la waasi kwa silaha kutoka DRC katika eneo la Buringa
Milio ya silaha nzito na kawaida ilisikika jumamosi jioni katika kijiji cha Buringa, tarafani Gihanga mkoa wa Bubanza (magharibi mwa Burundi). Waasi huenda walitoka katika mbuga ya Rukoko kwenye mbambao
Tanzania : viongozi wanahakikisha kuwa unyanyasaji dhidi ya wakimbizi wa Burundi unapuziwa
Wizara wa mambo ya ndani inahakikisha kuwa wakimbizi wa Burundi wananyanyaswa na polisi ndani ya kambi. Wizara hiyo inatoa ahadi ya kushughulikia swala hilo lakini haonyeshi ishara yoyote. Badala yake
- 1
- 2