Posts From Adam Ntwari

Wakimbizi

Dzaleka (Malawi) : wakimbizi watatu wafariki dunia baada ya kufanyiwa mateso

Watu hao ni raia wawili wa Burundi na mwingine mwenye asili ya Rwanda. Walikuwa walikamatwa katika msako wa wakimbizi wanaoishi mijini na kuzuiliwa ndani ya gereza kuu ya Maula. Viongozi

Usalama

Rugombo : watu wawili, mke na mumeo wapatikana wakiwa maiti nyumbani kwao

Tharcisse Nsanzamahoro (miaka 49) na mke wake Thérèse Nzohabonimama, miaka 52 walipatikana wakiwa maiti nyumbani kwao jumapili hii asubuhi kwenye transversale 3 tarafani Rugombo katika mkoa wa Cibitoke (kaskazini magharibi

Utawala

Burundi : nchi imepata mwendeshamashtaka mkuu mpya

Ni Léonard Manirakiza, ameidhinishwa jumanne hii na baraza la seneti. Wanaharakati wanasema kuwa hawataraji mambo makubwa kutoka kwake lakini wameamuru kujizuia kueleza chochote. HABARI SOS Médias Burundi Léonard Manirakiza ameidhinishwa

Siasa

Ngozi : mfuasi wa chama cha CNL apatikana akiwa maiti

Muili wa Gilbert Ndacayisaba mwenye umri wa miaka 47 ulipatikana katika shamba la miti ya mikaratusi alhamisi mchana. Mkaazi huyo wa kijiji cha Karungura tarafani Mwumba mkoa wa Ngozi (Kaskazini

Siasa-faut

Bubanza: Mbunge Fabien Banciryanino aibua mjadala

Katika sherehe za kuomboleza mauwaji ya rais Melchior Ndadaye, mbunge wa zamani Fabien Banciryanino aliweka shaada za mauwa ambako ameandika kuwa demokrasia ilidaiwa na Ndadaye haijaonekana. Jambo hilo limeibua mjadala.

  • 1
  • 2