Posts From Adam Ntwari

Afya

Burundi: hivi karibuni chanjo dhidi ya malaria kwa watoto chini ya miaka miwili

Tangazo hilo lilitolewa Alhamisi hii katika taarifa kwa vyombo vya habari kutoka kwa wizara inayosimamia afya ya umma. Hii ilikuwa wakati Burundi ilipoungana na dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya

Usalama

Goma: mji wa Nyanzale chini ya udhibiti wa M23

Kufuatia mapigano makali yaliyodumu kwa siku mbili, mji wa kimkakati wa Nyanzale katika eneo la Rutshuru katika eneo la chifu Bwito ulidhibitiwa na M23 siku ya Jumatano. Kulingana na mashirika

Utawala

Cibitoke: Chifu wa eneo la Mabayi anayeshutumiwa kwa kushirikiana na waasi wa Rwanda akamatwa

Chifu wa eneo la Mabayi alikamatwa Ijumaa iliyopita na maajenti wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (SNR). Anashutumiwa kwa kushirikiana na kusambaza waasi wa Rwanda wa FLN walioko katika hifadhi

Uchumi

Bujumbura: bidhaa za Brarudi zinazidi kuwa adimu, bei yake inapanda na uongozi unafumbia macho

Katika siku za hivi karibuni, imekuwa vigumu kupata baadhi ya bidhaa kutoka Brasserie et lemonaderie du Burundi (Brarudi) katika jiji la kibiashara la Bujumbura. Wamiliki wa baa wanasema vinywaji na

Usalama

Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai

Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya

Uchumi

Bujumbura : kazi zavurugika kutokana na umeme unaokatika mara kwa mara

Hali ya umeme kukatika mara kwa mara inaripotiwa katika mji mkuu wa kiuchumi wa Bujumbura. Wakaazi wanalalamika huku wafanyabiashara wanaoendesha shughuli za kibiashara wakidai kupata hasara kubwa. Mamlaka ya maji

Jamii

Burundi : bei ya mafuta ya gari yapanda kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi miwili

Bei ya mafuta ya gari aina ya petroli (essence) ilitoka kwenye bei ya 3895 na kupanda hadi 4550 sarafu za Burundi sawa na ongezeko la franka 665. Bei ya mazout

Usalama

Cibitoke : wafungwa wawili wafariki wakiwa katika gereza la polisi ya mkoa

Katika kipindi cha chini ya wiki moja, wafungwa wawili walifariki dunia wakiwa ndani ya gereza la kamishna ya polisi mkoani Cibitoke (kaskazini magharibi mwa Burundi). Msongamano ndani ya jela pamoja

Haki za binadamu

Burundi : hutba ya rais Neva itaimarisha vitendo vya uhalifu vinavyotekelezwa na Imbonerakure, kwa mujibu wa Carina Terksakian

Rais Evariste Ndayishimiye jumamosi tarehe 26 agosti 2023, alisifisu jukumu la Imbonerakure katika kufanya doria za usiku na kulinda mipaka. Kwa mujibu wa Carina Terksakian, mtafiti mshirika katika shirika la

Wakimbizi

Dzaleka (Malawi) : wakimbizi watatu wafariki dunia baada ya kufanyiwa mateso

Watu hao ni raia wawili wa Burundi na mwingine mwenye asili ya Rwanda. Walikuwa walikamatwa katika msako wa wakimbizi wanaoishi mijini na kuzuiliwa ndani ya gereza kuu ya Maula. Viongozi

  • 1
  • 2