Haki
Press-Burundi: RSF inadai kuachiliwa mara moja kwa mwanahabari Sandra Muhoza
Katika taarifa kwa vyombo vya habari, RSF (Wanahabari Wasio na Mipaka) walidai kuachiliwa mara moja na bila masharti kwa mwenzetu Sandra Muhoza. Shirika linazungumzia hali “ya kutisha”. HABARI SOS Media
Mbuye (Muramvya): Familia ya Oscar Mbonihankuye, aliyeuawa na Imbonerakure kwa kutoshiriki kazi za jamii, inadai mwili wake
Oscar Mbonihankuye, mwenye umri wa miaka 60, alikamatwa, kuteswa na kisha kutupwa kwenye Mto Mubarazi na Imbonerakure zaidi ya wiki mbili zilizopita. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari, matukio
Rwanda: wakimbizi wa Kitutsi wa Kongo waandamana kupinga mauaji ya kimbari yanayowalenga nchini DRC
Walikuwa ni wakimbizi kutoka kambi za Kiziba na Nkamira zilizoko katika wilaya za Karongi na Rubavu za Mkoa wa Magharibi ambao waliandamana siku ya Jumatatu. Wanashutumu “mauaji ya halaiki” yaliyofanywa
Burundi: kundi la waasi la Red-Tabara lashitakiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu
Ofisi ya mwendesha mashtaka wa umma ya Jamhuri ya Burundi ilitangaza kuwa imefungua kesi mbili za jinai kwa mashambulizi ya Gatumba (Bujumbura) na Buringa (Bubanza) ambayo yaliua karibu watu thelathini,
DRC: zaidi ya wanawake 25,000 walibakwa katika miaka 34
Zaidi ya wanawake 25,000 wamebakwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na makundi yenye silaha tangu kuanza kwa vita mwaka 1990. 87% yao wanatoka mashariki mwa nchi. Hii ilisababisha vyama
Kesi-Bunyoni: Waziri mkuu huyo wa zamani anachukizwa na hali ya kinyama ya kuwekwa kizuizini na kuomba aachiliwe kwa muda
Kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza Alhamisi kwa Waziri Mkuu wa zamani Alain Guillaume Bunyoni mbele ya Mahakama ya Juu. Kesi hiyo ilifanyika katika gereza kuu la Gitega, chini ya
Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai
Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya
Gitega : hakuna sheria miaka 27 baada ya mauwaji ya askofu Joachim Ruhuna
Askofu Joachim Ruhuna mkuu zamani wa dayosezi ya Gitega aliuwawa tarehe 9 septemba 1996. Mauwaji hayo yalifanyika karibu na mto wa Mubarazi. Katika kipindi hicho, maeneo ya Bugendana na Mutaho