Haki

Haki

Kesi-Bunyoni: Waziri mkuu huyo wa zamani anachukizwa na hali ya kinyama ya kuwekwa kizuizini na kuomba aachiliwe kwa muda

Kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza Alhamisi kwa Waziri Mkuu wa zamani Alain Guillaume Bunyoni mbele ya Mahakama ya Juu. Kesi hiyo ilifanyika katika gereza kuu la Gitega, chini ya

Usalama

Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai

Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya

Haki

Gitega : hakuna sheria miaka 27 baada ya mauwaji ya askofu Joachim Ruhuna

Askofu Joachim Ruhuna mkuu zamani wa dayosezi ya Gitega aliuwawa tarehe 9 septemba 1996. Mauwaji hayo yalifanyika karibu na mto wa Mubarazi. Katika kipindi hicho, maeneo ya Bugendana na Mutaho