Posts From Leila Keza

Siasa

Burundi: Chama cha CNL chazuiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani katika jaribio lake la kutatua mgogoro wake wa ndani

Mkuu na mwakilishi wa kisheria wa chama cha CNL walituma barua kwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi Februari 26. Agathon Rwasa anafahamisha waziri kwamba anaandaa kongamano la ajabu

Afya

Burundi: upangaji uzazi, njia mwafaka ya kupambana na demografia ya kurukaruka

Viongozi wanawake wametakiwa kuongoza katika vita dhidi ya utapiamlo. Haya yalisemwa katika mji mkuu wa kiuchumi Bujumbura ambao uliandaa kati ya Jumatatu na Jumatano toleo la nne la Jukwaa la

Usalama

Cibitoke: wanajeshi sita wasimamishwa baada ya kupurukushana na Imbonerakure

Wanajeshi hao sita walikuwa wakifanyia kazi kwenye kituo cha Ruhagarika . Ni katika tarafa ya Buganda ndani ya mkoa wa Cibitoke kaskazini magharibi mwa Burundi karibu na mto wa Rusizi

Haki za binadamu

Gitega : hakuna sheria miaka 27 baada ya mauwaji ya askofu Joachim Ruhuna

Askofu Joachim Ruhuna mkuu zamani wa dayosezi ya Gitega aliuwawa tarehe 9 septemba 1996. Mauwaji hayo yalifanyika karibu na mto wa Mubarazi. Katika kipindi hicho, maeneo ya Bugendana na Mutaho

Jamii

Gitega : majaji saba wapelekwa jela

Majaji saba wanazuiliwa katika gereza kuu ya Gitega (mji mkuu wa kisiasa) tangu alhamisi jioni, mashahidi walithibitishia SOS Médias Burundi. Wanatuhumiwa vitendo vya rushwa na utapeli. HABARI SOS Médias Burundi

Usalama

DRC : siku chache baada ya muhula wake kumalizika, kikosi cha EAC chaomba kuongezewa muda

Kikosi cha kanda ya jumuiya ya Afrika mashariki EAC kilichotumwa katika mkoa wa kivu kaskazini (mashariki mwa DRC) kutokana na waasi wa M23 kudhibiti maeneo kadhaa, kinaomba kupewa muda wa

Siasa

Burundi : Imbonerakure zapewa sifa na kuhitajiwa

Rais wa Burundi ametoa sifa na kupongeza Imbonerakure (wajumbe wa tawi la vijana wafuasi wa chama cha CNDD-FDD, chama tawala) kwa jukumu lao katika kulinda mipaka ya nchi yake. Evariste

Wakimbizi

Mebeba (Zambia) : HCR inakwenda kinyume na haki kuwazika wakimbizi

Tangu muda mchache , HCR haotowi misaada kwa ajili ya mazishi kama ilivyokuwa kawaida. Wakimbizi wanaodai kuishi Katika mazingira magumu wanaomba shirika hilo la umoja wa mataifa kurejelea hatua hiyo.

Siasa

Bururi : kiongozi wa gereza kuu ya Murembwe na wafanyakazi wenzake wawili wapewa adhabu ya kifungo cha miaka 7 na miezi 6 jela

Kanali wa polisi Patrice Nkurikiye kiongozi wa gereza kuu la Murembwe mkoani Rumonge (kusini magharibi mwa Burundi) na washirika wake wawili wahudumu katika idara ya sheria ndani ya gereza hilo,

Haki za binadamu

Burundi : ni budi kuwa makini katika kuwatuma wasichana nchini Saudi Arabia, alisema mke wa rais

Mke wa rais wa Burundi analaani kuona wasichana wadogo wakiacha shule na kutoroka maeneo yao ya asili na kwenda kutafuta ajira katika nchi za warabu. Angeline Ndayishimiye alitoa wito kwa