Usalama
Kivu Kaskazini : Saa 48 ndio makataa yaliyowekwa na vikundi vya wenyeji wenye silaha kwa jeshi la kikanda kuondoka DRC
Jumatano hii, vikundi vya kujilinda vilivyo na silaha vya ndani vilitoa makataa kwa jeshi la kikanda la EAC kuondoka katika nyadhifa zake Masisi, Rutshuru na Nyiragongo. Iko katika mkoa wa
Kivu-Kaskazini: sehemu ya kikundi cha Busanza kilichochukuliwa na Uganda?
Wakazi wa kundi la Busanza katika eneo la Rutshuru katika jimbo la Kivu Kaskazini (mashariki mwa DRC) wanasema kuwa Uganda imehamisha alama za mpaka zinazoashiria mpaka kati ya nchi hii
DRC (Kivu Kaskazini): M23 inarudi kwenye nyadhifa za zamani
Vuguvugu la Machi 23 (M23) limeteka upya maeneo ambayo iliyaacha kama sehemu ya usitishaji mapigano uliotakiwa na Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki tangu Desemba 2022. Kamati ya
Goma : miili ya watu zaidi ya arobaini yazikwa kwa amri ya serikali licha ya upinzani wa familia na mashirika ya kirai
Angalau miili ya watu 40 ilizikwa jumatatu hii tarehe 18 septemba 2023 kwa amri ya gavana wa mkoa wa kivu kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo licha ya
Cibitoke: wanajeshi sita wasimamishwa baada ya kupurukushana na Imbonerakure
Wanajeshi hao sita walikuwa wakifanyia kazi kwenye kituo cha Ruhagarika . Ni katika tarafa ya Buganda ndani ya mkoa wa Cibitoke kaskazini magharibi mwa Burundi karibu na mto wa Rusizi
Bujumbura : uimarishwaji wa usalama mbele ya RTNB wasababisha wasi wasi
Wafanyakazi wa radio na televisheni ya Burin di (RTNB) kituo cha matangazo cha serikali, walishituka kuona ijumaa asubuhi, kikosi kikubwa cha usalama pamoja na uwepo wa mbwa wa polisi kwenye
Nyarugusu (Tanzania) : askali wanne wasimamishwa kwa tuhuma za jaribio la wizi
Askali polisi walifumaniwa wakifanya wizi ndani ya makaazi ya mfanyabiashara mmoja katika kambi ya Nyarugusu. Polisi hao walikamatwa pamoja na walinzi wa kawaida watatu wa kambi. Wakimbizi wanaomba adhabu kali
Gihanga : bibi kizee wa zaidi ya miaka sabini auwawa
Mwanamke mwenye wa miaka 75 alikatwa kichwa na watu wasiojulikana bado katika kijiji cha Rugunga tarafa ya Gihanga mkoa wa Bubanza (magharibi mwa Burundi). Polisi tayari iliwakamata watuhumiwa watatu. HABARI
Cibitoke : wafungwa wawili wafariki wakiwa katika gereza la polisi ya mkoa
Katika kipindi cha chini ya wiki moja, wafungwa wawili walifariki dunia wakiwa ndani ya gereza la kamishna ya polisi mkoani Cibitoke (kaskazini magharibi mwa Burundi). Msongamano ndani ya jela pamoja
Bubanza : shambulio la waasi kwa silaha kutoka DRC katika eneo la Buringa
Milio ya silaha nzito na kawaida ilisikika jumamosi jioni katika kijiji cha Buringa, tarafani Gihanga mkoa wa Bubanza (magharibi mwa Burundi). Waasi huenda walitoka katika mbuga ya Rukoko kwenye mbambao
