Burundi: ni nani waliomuteka mwandishi wa habari Jérémie Misago ?

Burundi: ni nani waliomuteka mwandishi wa habari Jérémie Misago ?

Mwenzetu hajulikani alipo tangu jumamosi iliyopita. Jumatatu hii, ameonekana ndani ya video akidai kuwa yuko salama bila hata hivyo kufahamisha malaha alipo. HABARI SOS Médias Burundi

Ni majira ya mchana ambapo video hiyo imetumwa kwa watu wake wa karibu. Mwandishi huyo ameonekana kama mtu aliyetulia. Amesema kuwa ” yuko salama” lakini hakubiani mahala alipo. Anafahamisha tu kuwa ” atasema yaliomukuta”.

Katika video hiyo isiokuwa ya kawaida”, mwandishi huyo Jérémie Misago anaeleza : ” Nilijikuta katika eneo hili la nchini kati bila kujuwa . Sikupanga hayo, ningepanga ningewafahamisha watu wa karibu na marafiki. Amehakikisha kuwa angewasili Bujumbura jumatatu jioni au jumanne asubuhi.
Mwenzetu huyo alionekana akiwa na mudhaifu, chini ya vitisho, akiwa amechoka na kuonekana kuogopa mtu aliyekuwa pembeni yake, akilazimika kukariri kwa vitu.
Katika tangazo, gazeti la Iwacu halikupenda kutoa maelezo zaidi na kupongeza polisi kwa “ushirikiano wake mzuri”.

Msemaji wa polisi ya Burundi (PNB), Désiré Nduwimana ametuhakikishia kuwa “polisi inafahamu tatizo hilo, vyombo vya usalama vinafanya kazi yao. Tutawambia maendeleo”.

Kwa mjibu wa mtalaam katia sayansi ya mawasiliano, kuona mwenzetu ameamuru kutuma video kuliko kurudi nyumbani ni jambo linaloleta wasi wasi.

“Ni ajabu. Katika hali kama hiyo, jambo la kwanza, mwandishi Jérémie Misago angetakiwa kurudi nyumbani kuliko kuchukua vidéo” amebaini mtalaam huyo.

Previous Bukinanyana: waasi wa Rwanda wameuwawa na wengine kukamatwa
Next Cibitoke: three judicial police officers and an administrative officer detained for murder and corruption

You might also like

Security

Cibitoke : the hunt for CNL members is in full swing

Members of the opposition CNL party say they are being persecuted. Four members were arrested in less than a month. Officials of this party point the finger at the National

Security

DRC: M23 inatuhumu serikali kuvunja makubaliano ya kusitisha vita na kuwauwa raia wa kawaida

Kulingana na tangazo la jumatano hii, kundi hilo la waasi linatuhumu jeshi la Kongo kujiunga na makundi ya silaha likiwemo kundi la Mai Mai na FDLR ili kuwauwa raia wa

Security

Gitega : a person kidnapped and tortured by a local administration officer in complicity with Imbonerakure

Asman Rwasa, 32 years old, was kidnapped and then tortured by the Yoba neighborhood chief in Gitega, the political capital of Burundi, with the complicity of certain Imbonerakure (members of