Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi

Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .

” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.

Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .

Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.

Previous Burundi: a new fuel shortage looming
Next Burundi : ukosefu wa mafuta ya gari watangazwa kwa mara nyingine

You might also like

Justice En

Burundi : two journalists’ long detention ends on the same day

SOS Médias Burundi Bujumbura / Ngozi, March 4, 2026 – Two Burundian journalists were released on Wednesday, March 4, 2026, after more than two years of detention. Sandra Muhoza and

Human Rights

Crisis in eastern Congo : a blue helmet killed and another seriously injured in an attack against a Monusco plane

The Monusco (Mission of the United Nations organization in the DRC) announced the death of its blue helmet in a press release. It informs that he died following an attack

Justice En

Burundi : President Neva wants to relieve prison congestion but his lieutenants are slowing down the operation

Last Friday, Burundian President Évariste Ndayishimiye launched the operation to relieve prison congestion at Muramvya central prison. He acknowledged that remand centers are overcrowded in his country, which is a