Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi

Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .

” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.

Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .

Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.

Previous Burundi: a new fuel shortage looming
Next Burundi : ukosefu wa mafuta ya gari watangazwa kwa mara nyingine

You might also like

Refugees

Refugees: Burundians settled in the camps modestly marked the end of year celebrations

From Nduta to Kakuma via Nyarugusu, Mahama, Nakivale or even Dzaleka, Mulongwe, Lusenda or Meheba, Burundian refugees marked the end of year celebrations in modesty. In addition to the increase

Economy

Gitega: the price of food products goes up to double, residents are worried

Residents in the political town of Gitega (central Burundi) say they are overwhelmed by a dizzying rise in the price of food products. Most commodities on the market have nearly

Human Rights

Bubanza: two Imbonerakure including a hill leader beat up a septuagenarian

A septuagenarian is in bed at his home on Gahwazi1 hill without any medical care following the violence inflicted on him by two Imbonerakure (members of the CNDD-FDD party’s youth