Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi

Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .

” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.

Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .

Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.

Previous Burundi: a new fuel shortage looming
Next Burundi : ukosefu wa mafuta ya gari watangazwa kwa mara nyingine

You might also like

Refugees

Tanzania: authorities raise refugees’ awareness on the respect of the laws they constantly violate

Two weeks devoted to the sensitization on the national legislation and provisions governing refugees, in the Nduta and Nyarugusu camps. Refugees find that they are protected by good legislation, which

Justice En

Kayanza : a man attacks and injures his parents with a machete

A 32-year-old man brutally attacked his parents. He wounded his father and mother with a machete. The incident took place on the night of March 5 to 6 in the

Justice En

Rumonge: the provincial governor accused of interfering in a judicial case

Esco Niyogushima, a nurse at the Maramvya health facility in the commune of Burambi in the province of Rumonge (south-west of the country) and Pacifique Irokoze, a resident of the