Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela
Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi
Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .
” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.
Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .
Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.
You might also like
Burundi : the biometric ID card still far from a reality
SOS Médias Burundi Bujumbura, May 11, 2026 – Presented by the Burundian government as a major step towards administrative modernization, the future national biometric and digital identity card is generating
Rwanda : Congolese Tutsi refugees demonstrate against a probable genocide targeting them in the DRC
It is refugees from the Kiziba and Nkamira camps located respectively in the Karongi and Rubavu districts of the Western Province who demonstrated on Monday. They denounce a “genocide” committed
North Kivu : human rights defenders threatened in areas of armed conflict
Human rights defenders in Rutshuru territory warn of threats made against them by militia leaders. They count 18 activists killed by gunmen in a period of three months. INFO SOS
