Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela

Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi

Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .

” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.

Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .

Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.

Previous Burundi: a new fuel shortage looming
Next Burundi : ukosefu wa mafuta ya gari watangazwa kwa mara nyingine

You might also like

Society

Kiremba : end of planting without fertilizer, farmers on the brink of despair

SOS Médias Burundi Kiremba, March 18, 2026 — The planting period for the B farming season officially ended on March 15, 2026, in Burundi, leaving behind a deep sense of

Éducation

DRC – Rwanda : Congolese and Rwandan students testify to the complementarity in education between both countries despite their disagreement

Tensions between the Democratic Republic of Congo and Rwanda arose in 2022 when strong disagreements broke out between these two states in the Great Lakes region of Africa. Nevertheless, these

Society

Burundi : Burundian authorities canceled an international conference of Christian women

Burundian authorities announced Thursday the suspension of an international conference of Christian women. It had been prepared by an organization led by an Apostle of Rwandan origin. The minister in