Gitega : watuhumiwa watano wa mapenzi ya jinsia moja wameachiwa huru kwa jumla ya wale 24 wanaozuiliwa jela
Uamzi wa kuwaachilia huru umechukuwa jumatatu hii tarehe 20 machi, amethibitisha hayo mmoja kati ya mawakili waliotetea kundi hilo. Watano hao walioachiliwa huru walikuwa katika kundi la watu 24 wanaotuhumiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja waliosimamishwa mwezi februari uliopita. Wanazuiliwa katika gereza kuu la Gitega (makao makuu ya kisiasa). HABARI SOS Médias Burundi
Ni wanaume wawili na wanawake watatu. Wameachiwa huru kwa muda jumatatu hii , chanzo cha polisi kiliambia SOS Médias Burundi .
” Ni mahakama ya mkoa wa Gitega iliyochukuwa uamzi wa kuwaachilia huru jumatatu hii mchana” , mmoja kati ya mawakili watetezi wa kundi amethibitishia SOS Médias Burundi. Wajumbe wengine wa kundi hilo wamesikilizwa jumanne hii mchana wakiwa katika jela la Gitega. Wanatuhumiwa kosa la kushawishi watu kufanya ulevi”.
Watu wa karibu yao wanaomba waachiliwe huru uchunguzi wa kiafya ukiwa bado kufanyika .
Wote 24 wakiwa ni wapenzi wa jinsia moja walikamatwa tarehe 22 februari wakidiri mafunzo katika mji wa Gitega kabla ya kupelekwa katika jela la mkoa huo tarehe 6 machi iliyopita.
About author
You might also like
RDC-EAC: mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC unaelekea kuanzishwa
Jumuiya ya Afrika mashariki inapanga kutuma wajumbe wa mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC ambao ni muhimu sana ili kumaliza mzozo. Hayo ni kulingana na tangazo lililowekwa
Kirundo : a two-month suspension for the judges who sat in the Christelle Ndayishimiye case
The Minister of Justice, Domine Banyankimbona imposed a two-month suspension on three judges of the Kirundo First Instance Court who sat in the case of pupil Christelle Ndayishimiye. This sanction
Goma: vyombo vya habari vingi vyanyimwa haki ya kupata habari
Vyombo vya habari vya ndani na kimataifa vinadai kubaguliwa katika kuripoti matukio yanayojiri kwa wakati huu ndani ya nchi na katika kanda. Wandishi wa habari wanapinga hali ambapo matukio yanayoweza