Kivu-kaskazini : OCHA yatoa wito, wananchi waepushwe mapigano
Ofisi ya shirika la kuratibu misaada ya kiutu la umoja wa mataifa limetoa tangazo wikendi hii kuhusiana na hali ya kibinadamu Kivu kaskazini (mashariki mwa DRC). Shirika hilo linalaani kuona wananchi wa kawaida wakiteseka kutokana na mapigano kati ya kundi la M23 na FARDC ( jeshi la jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo). Linaomba wananchi waepushwe sawa na sheria za kimataifa. HABARI SOS Médias Burundi
Kupitia tangazo, OCHA imetoa tahadhari kuhusu hali ya maisha ya wakimbizi wa ndani katika maeneo mengi ya Kivu-kaskazini.
[…] wakimbizi wa ndani waliotoroka mapigano kati ya M23 na jeshi wanaishi katika mazingira yasiyofaa kwa binadamu ” yanasomeka ndani ya tangazo hilo.
Shirika hilo linasisitiza kuwa maisha ya watu yako hatarini na kuzidi kuwa ma elfu ya watu walijikuta kati ya mioto ndani ya maeneo ya Kitshanga ( wilaya ya Masisi), na maeneo ya karibu katika mkoa wa Kivu kaskazini na kulazimika kuyatoroka makaazi yao”.
Bruno Lemarquis mratibu wa misaada ya kiutu nchini DRC analaani kuona kuna ma elfu ya wananchi wanaoteseka kutokana na vita mashariki mwa nchi. Anaomba wananchi waepushwe sawa na sheria za kimataifa
You might also like
Tanzania : Burundian authorities want to repatriate refugees at all costs
A Burundian-Tanzanian delegation visited two Burundian refugee camps in Nduta and Nyarugusu this week. The message was unique : return before December 2024. However, most of those concerned do not
Rumonge : 15 years in prison for a man found guilty of raping his domestic servant
A resident of Rumonge was sentenced to a heavy prison sentence for sexually abusing his minor domestic servant, on January 6, 2025. The case, marked by attempts at cover-up, sparked
Ituri and North Kivu: at least 18 civilians killed since Sunday
Since last Sunday, assailants assimilated to the ADF (Allied Democratic Forces) have conducted attacks in various localities in the provinces of Ituri and North Kivu in the east of the
