Mutaho: aliyefanya mauwaji ya mrasibu wa kituo cha posta ahukumiwa kifungo cha maisha jela

Mutaho: aliyefanya mauwaji ya mrasibu wa kituo cha posta ahukumiwa kifungo cha maisha jela

Katika kesi ya mafumanio mbele ya chumba cha uhalifu cha mahakama kuu ya Gitega (mji mkuu wa kisiasa) jumamosi hii, Chadrack Irakoze (miaka 30) alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la mauwaji ya kukusudia dhidi ya mrasibu mkuu wa kituo cha posta tarafani Mutaho Emmanuel Ndayizeye mwenye umri wa miaka 50. Muhanga aliuwawa kwa kupigwa risasi siku ya ijumaa akiwa ofisini mwake tarafani Mutaho mkoa wa Gitega (kati kati mwa Burundi). HABARI SOS Médias Burundi

Dereva huyo na pia fundi mekanika mkaazi wa kijiji cha Bihororo tarafa ya Giheta( Gitega) alikiri kosa bila hata hivyo kueleza sababu za kufanya mauwaji hayo.

” Hakupora hata pesa. Hakika ni muuwaji aliyepewa jukumu la kumumalizia maisha muhanga”, alibaini mtu mmoja aliyesikikiza kesi hiyo.

Chadrack Irakoze alifahamisha kuwa alinunua silaha iliyofanya mauwaji hayo nchini jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kijilinda.

Mwendeshamashtaka ya jamuhuri aliomba muhusika wa mauwaji hayo apewe adhabu ya kifungo cha maisha jela. Muhusika aliomba adhabu hiyo ipunguzwe.

Baada ya kutathmini majaji waliamuru apewe adhabu ya kifungo cha maisha jela.

Previous Rwanda-DRC: tuhuma za DRC kuwa Rwanda inafanya upelelezi dhidi yake ni ongezeko la vishawishi kwa wananchi kushambulia
Next Burundi: rais Neva anawatuliza watuhumiwa wanaofuatiliwa na ICC

You might also like

Security

Kirundo : the Secretary General of the CNDD-FDD visited the Imbonerakure of districts bordering Rwanda to call on them to be more vigilant

Révérien Ndikuriyo paid a visit on Monday, September 30, to the districts of Bugabira and Busoni, bordering neighboring Rwanda. He called on them to be more vigilant. Officials of the

Human Rights

Gitega : a person kidnapped and tortured by a local administration officer in complicity with Imbonerakure

Asman Rwasa, 32 years old, was kidnapped and then tortured by the Yoba neighborhood chief in Gitega, the political capital of Burundi, with the complicity of certain Imbonerakure (members of

Politic

DRC-EAC: en route to the establishment of a monitoring and verification mechanism in eastern DRC

The East African community plans to send a monitoring and verification mechanism to eastern DRC, a mécanism so crucial to end conflicts, said a press release published on the EAC