Beni: waasi nane wa ADF wauwawa

Beni: waasi nane wa ADF wauwawa

Jeshi la Kongo linafahamisha kuwa liliwauwa waasi nane na kuwakamata wengine 5 wa ADF (kundi la waasi wa Uganda) alhamisi hii katika kijiji cha Kisasu Ngandu. Ni katika wilaya ya Beni mkoa wa Kivu-kaskazini (mashariki mwa DRC). HABARI SOS Médias Burundi

Ni msemaji wa kikosi cha Sokola 1, kaskazini-kubwa aliyefahamisha hayo.

” Ni matokeo ya mapigano kati ya watu wetu na kundi la ADF katika usiku wa alhamisi kuamkia ijumaa kusini mwa eneo la Karuruma katika kijiji cha Bashi. Kwenye eneo la mapigano magaidi watatu wa ADF waliuwawa moja kwa moja. Miili mingine mitano ilipatikana baada ya mapigano”, aliripoti kepteni Antony Mualushayi.

Anazidi kuwa silaha aina ya AK-47 na vifaa vya mawasiliano vilikamatwa pia.

[…], baada ya kushindwa, aduwi alielekea katika mbuga ya wanyama ya Virunga. Tunawaomba raia wakaazi wa karibu na hifadhi hiyo ya kimataifa kuwa makini”, alizidi kusema.

” Kikundi cha ADF kwa sasa linakabiliwa na mashambulizi ya jeshi huku kikijaribu kulipiza kisasi wakati huu wa siku kuu. Huduma zetu maalum zilifichua mtandao wa magaidi wa ADF uliokuwa ikiandaa mashambulizi dhidi ya mji wa Béni “, alimalizia.

Previous Cibitoke: kilio cha raia waliofanyiwa mateso na kusikilizwa katika gereza la SNR mkoani
Next Minembwe: jeshi la Kongo na kundi la Twirwaneho walipoteza watu 11

You might also like

Security

Photo of the week : a hundred women victims of rape perpetrated by M23 rebels (civil society)

An association of displaced women indicated that more than a hundred women claim to have been victims of rape perpetrated by elements of the M23. Territories of Rutshuru, Nyiragongo and

Security

cibitoke: a grenade launched by a policeman seriously hurts a person

Gervais Hatungimana was seriously injured in a grenade attack perpetrated at his home around 20 pm in the night of this Wednesday by célestin nitunga, a policeman affected by the

Security

Kivu-Kaskazini: serikali ya Kongo imepandisha idadi ya waliouwawa eneo la Kishishe

Idadi ya waliuwawa eneo la kitongoji cha Kishishe, ndani ya wilaya ya Rutshuru, kivu-kaskazini mashariki mwa DRC ilipanda. Baada ya kupatikana kwa miili mingine, sasa ni vifo vya watu 272