Rwanda-DRC : Kigali inadai kuwa aduwi wake peke katika ukanda huu ni Kinshasa
Rwanda-DRC : Kigali inadai kuwa aduwi wake peke katika ukanda huu ni Kinshasa
Waziri wa Rwanda wa diplomasia alikuwa bungeni alhamisi kwa ajili ya ” kueleza” wawakilishi hao wa wananchi kuhusu hali ya sasa ya ushirikiano wa Rwanda. Daktari Vincent Biruta alihakikisha kuwa
Burundi : watumiaji wa mtandao wa Ecocash wajawa na hofu
Mamlaka ya kukusanya mapato ya serikali (OBR) ilichukuwa udhibiti wa akaunti za kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Econet Wireless Burundi. Watumiaji wa mfumo wake kutuma na kupokea
Beni: at least 18 injured in a recent homemade bomb blast
A bomb exploded on the evening of Wednesday January 25, 2023 in the city of Beni, in the province of North Kivu, eastern Congo. The findings of the first investigations
Burundi : $21 million granted by the African Development Bank to support the agricultural sector
Three provinces in north and northeast Burundi, namely Ngozi, Kirundo and Muyinga will benefit from the modern development of several marshes. The objective is to boost agricultural production to fight
Makamba : the morgue of the provincial hospital has been down for almost a year
According to bereaved families and staff at the Makamba hospital (southern Burundi), the morgue at the provincial hospital has been out of order for almost a year. Some families lament
Nakivale (Uganda) : cardiovascular diseases kill many elderly people
Medical Team International (MTI) wants to curb deaths from cardiovascular diseases in the Nakivale refugee camp in Uganda. This NGO which deals with the health aspect calls on everyone, especially
Kirundo : two men sentenced to life jail for the murder of a woman
It is the Kirundo court in northern Burundi that sentenced them. Among the defendants, the husband of the victim. The two men were tried in a flagrance trial. INFO SOS
Makamba : chumba cha kuhifadhi maiti hakifanyi kazi kwa takriban mwaka mmoja sasa
Kwa mjibu wa wafanyakazi kwenye hospitali hiyo ya Makamba ( kusini mwa Burundi) pamoja na familia zilizokosa watu, chumba cha kuhifadhi maiti sasa ni takriban mwaka mmoja kikiwa hakifanyi kazi.
Burundi : kitita cha milioni 21 chatolewa na benki ya afrika ya maendeleo kwa ajili ya kuendeleza sekta ya kilimo
Mikoa ya kaskazini mashariki mwa Burundi ambayo ni : Ngozi, Kirundo na Muyinga itanufaika na mradi hui kwa kutengeneza mabonde ya mito mingi. Lengo ni kuongeza mavuno ya kilimo kwa
Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lashambulia ndege ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya Kongo (Tangazo)
Serikali ya Kongo inatuhumu jeshi la Rwanda kushambulia ndege yake ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya DRC. Ni kulingana na tangazo la viongozi wa Kongo la jumanne hii
