Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lashambulia ndege ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya Kongo (Tangazo)

Security

Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lashambulia ndege ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya Kongo (Tangazo)

Serikali ya Kongo inatuhumu jeshi la Rwanda kushambulia ndege yake ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya DRC. Ni kulingana na tangazo la viongozi wa Kongo la jumanne hii

Human Rights

Mahama (Rwanda) : zaidi ya wakimbizi elfu moja hawajapewa mlo wao tangu miezi mitatu iliyopita

Zaidi ya wakimbizi elfu moja idadi kubwa wakiwa kutoka Burundi hawapewa chakula sasa ni miezi mitatu. Kawaida, wanapewa chakula kila baada ya mwezi. Wakimbizi wanapewa pesa za Rwanda kwenye kadi

Politic

Nyabitsinda: a CNL headquarters destroyed and burned

A CNL party headquarters on Nyaruganda hill was destroyed and burned during the night of 19 January. It is in the commune of Nyabitsinda (province of Ruyigi, eastern Burundi). The

Human Rights

Mahama (Rwanda): more than a thousand refugees have not received a ration for three months

More than a thousand people including mostly Burundian refugees have no ration for three months. Normally distributed monthly, the ration is given as money in Rwandan currency on beneficiaries’ bank

Human Rights

Kirundo: a woman found hung in her room

A woman was discovered on Monday morning, hanging in her bedroom.The husband of the victim, a soldier assigned to the Makamba camp (southern Burundi) is suspected of having simulated the

Politic

Rwanda: wakimbizi wa Kongo walalamika mbele ya ubalozi tofauti mjini Kigali

Wawakilishi wa zaidi ya wakimbizi 70.000 kutoka Kongo wanaopewa hifadhi nchini Rwanda waliwasilisha waraka kwenye balozi tofauti mjini Kigali jumatatu hii tarehe 23 januari ili kufahamisha jamii ya kimataifa kusaidia

Refugees

Rwanda: more than 3,000 new Congolese refugees received

UNHCR Rwanda announces that it keeps receiving Congolese fleeing their country. Over 3000 have already arrived in a few weeks and a new transit site has been set up in

Security

Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda limeshambulia ndege ya kivita ya Kongo

Rwanda inathibitisha kuwa ” imechukuwa hatua za kujilinda na kushambulia ndege ya kivita ya Kongo inayokiuka jumanne hii tarehe 24 januari anga ya Rwanda”. Ni mkasa wa tatu wa aina

Politic

Rwanda : zaidi ya wakimbizi wapya 3000 kutoka Kongo wapokelewa

HCR inafahamisha kuwa inaendelea kuwapokea wakimbizi kutoka Kongo wanaokimbilia nchini Rwanda. Zaidi ya wale 3000 tayari waliwasili wiki chache zilizopita. Kituo kipya cha muda kiliandaliwa eneo la Nkamira karibu na

Security

Rwanda-DRC : the Rwandan army fired on a Congolese fighter plane

Rwanda acknowledges “having taken defensive measures and fired on a Congolese warplane which violated the Rwandan airspace on Tuesday, January 24”. This is the third such incident reported by Rwandan