Mahama (Rwanda): the health component entrusted to “Save the children”
Mahama (Rwanda): the health component entrusted to “Save the children”
Since 2015, the health component has been managed by two NGOs : Save the children and Alight. But the latter has just been removed from the list. The UNHCR explains
Ituri: angalau wananchi 28 waliuwawa katika mashambulizi ya waasi
Jumapili iliyopita, waasi wa kundi la silaha la CODECO (shirikisho kwa ajili ya maendeleo ya Kongo) walifanya mashambulizi katika maeneo mbali mbali ya mkoa wa Ituri mashariki mwa DRC. Vyanzo
Rumonge: rais Neva atoa tahadhari kwa naibu mkuu wa chama cha CNDD-FDD na kuahidi kumupeleka mahakamani gavana wa zamani
Rais Ndayishimiye ametoa tahadhari kwa naibu katibu wa chama tawala katika mkoa wa Rumonge (Kusini-magharibi mwa Burundi). Anamutuhumu kuvuruga uchaguzi wa mkuu wa tarafa mpya. Ametoa muda wa wiki moja
RDC: jamii ya Banyamulenge wanahofia mauwaji ya kikabila, wanatoa malalamiko kwa EAC
Madiwani pamoja na viongozi wa jamii ya Banyamulenge eneo la Minembwe (mkoa wa kivu-kusini, mashariki mwa DRC) walimuandikia barua rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye kama mwenyekiti wa EAC (jumuiya ya
Burundi: mkuu wa CNIDH kuendelea kuongoza tume hiyo, wanaharakati wana matumaini kwake
Sixte Vigny Nimuraba aliidhinishwa kuendelea kuongoza CNIDH (tume ya kitaifa ya haki za binadamu) kwa muhula wa miaka minne.Bwana Nimuraba aliahidi kushirikisha na wadau wote kwa ajili ya kupata nchi
Bubanza: demobilized soldiers concerned about the lack of law governing them
Grievances raised by demobilized soldiers during a meeting held this Monday in Bubanza (western Burundi) by the minister in charge of defense and veterans, accompanied by the minister in charge
DRC: the Banyamulenge fear an ethnic cleansing, they seized the EAC
Notables and leaders of the Banyamulenge community in Minembwe (South Kivu province, eastern DRC) sent a letter to Burundian President Évariste Ndayishimiye, in his capacity as the current chairperson of
Burundi: the president of the CNIDH renewed, activists in hope
Sixte Vigny Nimuraba was reappointed to the presidency of the CNIDH (National Independent Human Rights Commission) for a four-year term. Mr. Nimuraba promised various consultations for the respect of everybody’s
Tanzania: wakimbizi wa Burundi wanaomba mwaka huu uwe mwaka wa mateso kupungua
Mwaka wa 2022 wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi za Nyarugusu na Nduta wanasema kuwa walikabiliwa na changamoto nyingi na kuathiriwa na manyanyaso mengi. Wanaomba HCR na viongozi wa Tanzania
Kivu-kaskazini: Kundi la M23 linadhibiti zaidi ya vijiji 100
Waasi wa kundi la machi 23 (M23) limechukuwa udhibiti wa jiji la kimkakati la Nyamilima, lilolo katika eneo la Binza tarafa ya Bwisha katika wilaya ya Rutshuru kwenye umbali wa
