Human Rights
Beni: at least 18 injured in a recent homemade bomb blast
A bomb exploded on the evening of Wednesday January 25, 2023 in the city of Beni, in the province of North Kivu, eastern Congo. The findings of the first investigations
Kirundo : two men sentenced to life jail for the murder of a woman
It is the Kirundo court in northern Burundi that sentenced them. Among the defendants, the husband of the victim. The two men were tried in a flagrance trial. INFO SOS
Makamba : chumba cha kuhifadhi maiti hakifanyi kazi kwa takriban mwaka mmoja sasa
Kwa mjibu wa wafanyakazi kwenye hospitali hiyo ya Makamba ( kusini mwa Burundi) pamoja na familia zilizokosa watu, chumba cha kuhifadhi maiti sasa ni takriban mwaka mmoja kikiwa hakifanyi kazi.
Mahama (Rwanda) : zaidi ya wakimbizi elfu moja hawajapewa mlo wao tangu miezi mitatu iliyopita
Zaidi ya wakimbizi elfu moja idadi kubwa wakiwa kutoka Burundi hawapewa chakula sasa ni miezi mitatu. Kawaida, wanapewa chakula kila baada ya mwezi. Wakimbizi wanapewa pesa za Rwanda kwenye kadi
Mahama (Rwanda): more than a thousand refugees have not received a ration for three months
More than a thousand people including mostly Burundian refugees have no ration for three months. Normally distributed monthly, the ration is given as money in Rwandan currency on beneficiaries’ bank
Kirundo: a woman found hung in her room
A woman was discovered on Monday morning, hanging in her bedroom.The husband of the victim, a soldier assigned to the Makamba camp (southern Burundi) is suspected of having simulated the
Rwanda: wakimbizi wa Kongo walalamika mbele ya ubalozi tofauti mjini Kigali
Wawakilishi wa zaidi ya wakimbizi 70.000 kutoka Kongo wanaopewa hifadhi nchini Rwanda waliwasilisha waraka kwenye balozi tofauti mjini Kigali jumatatu hii tarehe 23 januari ili kufahamisha jamii ya kimataifa kusaidia
Rwanda: more than 3,000 new Congolese refugees received
UNHCR Rwanda announces that it keeps receiving Congolese fleeing their country. Over 3000 have already arrived in a few weeks and a new transit site has been set up in
Prince-Regent Charles : the hard road of the dead to their final rest
For days, Prince Régent Charles Hospital located in the commercial capital Bujumbura has had no place in its morgue for the dead. Families of the deceased are complaining. Sources at
Burundi: the Archbishop of Gitega calls on the CNDD-FDD and Burundian authorities to promote the respect for human rights
The ruling party in Burundi has organized a three-day prayer since Thursday in the political capital Gitega. It is the Archbishop of Gitega Monsignor Bonaventure Nahimana who read the opening
