Mahama (Rwanda) : huduma mbaya za matibabu
Mahama (Rwanda) : huduma mbaya za matibabu
Wakimbizi katika kambi ya Mahama wanalalamika kuwa hupewa huduma mbaya za matibabu kwenye vituo vya afya. Hali za dharura ndizo zinashughulikiwa peke. Hayo ni wakati mratibu mpya katika sekta ya
Kirundo : kiongozi wa Imbonerakure azuiliwa jela
Kiongozi wa Imbonerakure (mjumbe wa tawi la vijana la chama cha CNDD-FDD) mkaazi sa kata ya Nyange-Bushaza kwenye makao makuu ya Kirundo (Kaskazini mwa Burundi) amemaliza wiki moja akiwa katika
Masisi: wakaazi wanaomba amani kupatikana kabla ya kujiandikisha kwenye uchaguzi
Wananchi wakaazi wa wilaya ya Masisi katika mkoa wa Kivu-kaskazini wanatoa wito kwa viongozi kumaliza tatizo la usalama mdogo kabla ya kuanza kwa zoezi la kuorodhesha wapiga kura eneo hilo
Muramvya: the provincial prison remains overcrowded despite the release of around twenty detainees
Twenty-seven prisoners from Muramvya and Mwaro provinces (central Burundi) were released from Muramvya central prison earlier this month, as part of decongesting jails, prison officials say. However the move is
Photo of the week : Burundi : Burundian authorities have arrested the fifth activist and sent to jail the team suspected of funding terrorism
The minister in charge of internal affairs and security announced Thursday the arrest of another member of associations. This is Prosper Runyange, in charge of the land program within the
RDC-EAC: mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC unaelekea kuanzishwa
Jumuiya ya Afrika mashariki inapanga kutuma wajumbe wa mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC ambao ni muhimu sana ili kumaliza mzozo. Hayo ni kulingana na tangazo lililowekwa
Bujumbura : chama cha CNL chazuiliwa kuadhimisha kumbukumbu ya miaka minne
Waziri wa mambo ya ndani na usalama aliamuru kupiga marufuku sherehe za maadhimisho ya miaka minne ya uhai wa chama cha CNL na zile za kutakiana rheli za mwaka mpya
DRC-EAC: en route to the establishment of a monitoring and verification mechanism in eastern DRC
The East African community plans to send a monitoring and verification mechanism to eastern DRC, a mécanism so crucial to end conflicts, said a press release published on the EAC
Bujumbura : suspension of the celebration of the 4th anniversary of the CNL party
The Minister in charge of Home Affairs and Security has decided to suspend the double ceremony of the celebration of the 4th anniversary of the CNL party and the exchange
Rwanda-DRC : jeshi la Kongo lapinga kuchokoza lile la Rwanda
Alhamisi hii, viongozi wa jeshi la Kongo eneo la Bukavu katika mkoa wa Kivu kusini (mashariki mwa DRC) walijieleza kuhusu kisa kilichoripotiwa na Rwanda siku moja kabla. Rwanda ilidai kuwa
