Rumonge : vijana wazuiliwa kuingia nchini Tanzania na DRC kwa hofu ya kwenda kujiunga na makundi ya silaha
Rumonge : vijana wazuiliwa kuingia nchini Tanzania na DRC kwa hofu ya kwenda kujiunga na makundi ya silaha
Kwa kipindi cha wiki tatu sasa, ni marufuku kwa warundi kuingia nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo na Tanzania. Vijana wanatuhumiwa kutaka kujiunga na makundi ya silaha ya warundi yanayopatikana
Zambia : karibu warundi 30 wanazuiliwa jela kwa kosa la uhamiaji haramu
Polisi nchini Zambia inafahamisha kuwa iliwakamata raia kutoka Burundi 29 kwa kosa la uhamiaji haramu. Walipitia Tanzania na lengo lao lilikuwa kufika nchini Afrika ya kusini. Wanaharakati wanasema ni biashara
Masisi : hofu imetanda eneo la Sake kutokana na mapigano kati ya jeshi na kundi la M23
Hali ya taharuki imeshuhudiwa alhamisi hii ndani ya jiji la Sake kwenye umbali wa takriban kilometa 20 magharibi ya mji wa Goma( makao makuu ya mkoa wa Kivu kaskazini) mashariki
Nyarugusu (Tanzania) : mashamba mengi ya mahindi kuharibiwa na uongozi wa kambi hiyo
Visa hivyo vimeripotiwa mwanzoni mwa wiki hii katika kambi ya Nyarugusu nchini Tanzania. Mkuu wa kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu aliharibu shamba la mahindi kwa ajili ya kupiga vita shughuli
Ngozi: uhaba wa chakula kwenye gereza kuu
wafungwa katika gereza kuu la Ngozi (kaskazini mwa Burundi) wanasema kuwa wanateseka kutokana na ukosefu wa chakula. Walioathirika zaidi ni wale wanaotoka katika mikoa ya Kirundo na Kayanza (kanda hiyo
Masisi : strong tension in Sake following the fighting between the army and the M23
A general panic was observed this Thursday in the city of Sake,about twenty kilometers west of Goma (capital of North Kivu) in eastern Congo following the fighting between the Congolese
Zambia : nearly 30 Burundians detained for illegal immigration
Zambian police say they have arrested 29 Burundians for illegal immigration. They went through Tanzania and wanted to reach South Africa. Activists cry out against human trafficking and ask Burundian
Beni : a dozen farmers killed in a new rebel attack in Oïcha
At least twelve people were killed by suspected ADF (Allied Democratic Forces) fighters in the Beni-Mbau sector in Beni territory in North Kivu in the east of the Democratic Republic
Rumonge : young people banned from traveling to Tanzania and DRC for fear of armed groups
For the past three weeks, young men have been prohibited from embarking for the Democratic Republic of Congo and Tanzania. They are suspected of “wanting to join Burundian armed groups”
Cibitoke : a zone chief and a local intelligence official accused of illegal money collection
Residents of the Ruziba zone, in the Mugina district and those of the Murwi district in the Cibitoke province (northwest Burundi) say they are tired of the abuse of authority
