Security

Security

Uvira: a soldier and two civilians killed

The two civilians, members of a group of young peacekeepers doing night rounds, were killed by gunmen. The soldier was lynched by residents. INFO SOS Médias Burundi It all starts

Security

Mahama (Rwanda) : a Burundian refugee dies after being beaten up by Congolese

Emmanuel Ruremesha died on Tuesday February 28. He succumbed to beatings inflicted on him during a fight with Congolese during the night from Monday to Tuesday. The police have already

Security

Mahama (Rwanda) : mkimbizi wa Burundi afariki dunia baada ya kupigwa na wakimbizi kutoka Kongo

Emmanuel Ruremesha aliuwawa jumanne hii tarehe 28 februari. Alifariki kutokana na vipigo alivyofanyiwa wakati wa ugomvi na raia wa Kongo usiku wa kuamkia jumanne hii. Polisi tayari ilikamata watu kadhaa

Politic

Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lauwa mwanajeshi wa tatu wa Kongo

Jeshi la Rwanda lilifahamisha ijumaa jioni kumuuwa mwanajeshi wa tatu wa Kongo. Kulingana na tangazo, jeshi la Rwanda linafahamisha kuwa mwanajeshi huyo aliyeuwawa alivuka na kuingia katika ardhi ya Rwanda.

Security

Ituri: zaidi ya wananchi 200 waliuwawa na waasi katika kipindi cha miezi miwili

Tangu mwanzo wa mwaka 2023, hali ya usalama inazidi kuwa ya wasi wasi na kusikitisha katika mkoa wa Ituri karibu miaka miwili tangu kuanzisha serikali ya kijeshi. Wananchi wa kawaida

Security

Rwanda-DRC : Rwandan forces killed a third Congolese soldier

The Rwandan army announced on Friday evening that it had killed a third Congolese soldier. In a press release, the Rwandan army said that the killed soldier had violated the

Politic

North Kivu : timid demonstration against President Macron’s arrival in the DRC

A demonstration has been organized in Goma this Thursday since the morning hours. Citizen movements and pressure groups are protesting against the arrival of French President Emmanuel Macron in the

Politic

Rwanda-DRC : Paul Kagame akosoa mandamano dhidi ya Macron

Rais wa Rwanda anaona kuwa mandamano yaliyoandaliwa nchini DRC dhidi ya ziara ya hivi karibuni ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron mjini Kinshasa hayana umuhimu. Anahakikisha pia kuwa Kigali haihusiki

Politic

Kivu-kaskazini : mandamano dhidi ya ziara ya rais Macron nchini DRC yanafahamisha bila ushawishi mkubwa

Mandamano hayo yaliandaliwa alhamisi hii mjini Goma tangu asubuhi. Makundi ya ushawishi pamoja vuguvugu la wananchi yanapinga ujio wa rais wa ufaransa Emmanuel Macron nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo.

Refugees

Kakuma (Kenya): two Burundian refugees killed

Two Burundian refugees have been killed and several others injured, in a week, at Kakuma camp in northwestern Kenya. Nearly all the victims were ambushed allegedly by the South Sudanese