Security

Security

Mahama (Rwanda) : mkimbizi wa Burundi afariki dunia baada ya kupigwa na wakimbizi kutoka Kongo

Emmanuel Ruremesha aliuwawa jumanne hii tarehe 28 februari. Alifariki kutokana na vipigo alivyofanyiwa wakati wa ugomvi na raia wa Kongo usiku wa kuamkia jumanne hii. Polisi tayari ilikamata watu kadhaa

Politic

Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lauwa mwanajeshi wa tatu wa Kongo

Jeshi la Rwanda lilifahamisha ijumaa jioni kumuuwa mwanajeshi wa tatu wa Kongo. Kulingana na tangazo, jeshi la Rwanda linafahamisha kuwa mwanajeshi huyo aliyeuwawa alivuka na kuingia katika ardhi ya Rwanda.

Security

Ituri: zaidi ya wananchi 200 waliuwawa na waasi katika kipindi cha miezi miwili

Tangu mwanzo wa mwaka 2023, hali ya usalama inazidi kuwa ya wasi wasi na kusikitisha katika mkoa wa Ituri karibu miaka miwili tangu kuanzisha serikali ya kijeshi. Wananchi wa kawaida

Politic

Rwanda-DRC : Rwandan forces killed a third Congolese soldier

The Rwandan army announced on Friday evening that it had killed a third Congolese soldier. In a press release, the Rwandan army said that the killed soldier had violated the

Politic

North Kivu : timid demonstration against President Macron’s arrival in the DRC

A demonstration has been organized in Goma this Thursday since the morning hours. Citizen movements and pressure groups are protesting against the arrival of French President Emmanuel Macron in the

Security

Rwanda-DRC : Paul Kagame akosoa mandamano dhidi ya Macron

Rais wa Rwanda anaona kuwa mandamano yaliyoandaliwa nchini DRC dhidi ya ziara ya hivi karibuni ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron mjini Kinshasa hayana umuhimu. Anahakikisha pia kuwa Kigali haihusiki

Politic

Kivu-kaskazini : mandamano dhidi ya ziara ya rais Macron nchini DRC yanafahamisha bila ushawishi mkubwa

Mandamano hayo yaliandaliwa alhamisi hii mjini Goma tangu asubuhi. Makundi ya ushawishi pamoja vuguvugu la wananchi yanapinga ujio wa rais wa ufaransa Emmanuel Macron nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo.

Refugees

Kakuma (Kenya): two Burundian refugees killed

Two Burundian refugees have been killed and several others injured, in a week, at Kakuma camp in northwestern Kenya. Nearly all the victims were ambushed allegedly by the South Sudanese

Justice En

Gitega: an alleged robber lynched by residents

An alleged thief was badly beaten with sticks and then finished off with clubs, being tied to a tree by angry residents. The incident took place on the Rukoba hill

Security

Masisi: timid resumption of activities in Rubaya

A few businesses reopened this Tuesday and Wednesday, in the mining town of Rubaya in the territory of Masisi in the province of North Kivu (eastern DRC), after the entity