Archive

Human Rights

Bubanza: vijana Imbonerakure 3 wamepinga kuripoti mbele ya askali polisi wa kupeleleza makosa

Wanafunzi 3 wa shule ya Bubanza (ETB), wafuasi wa tawi la vijana Imbonerakure (Wajumbe wa tawi la vijana wa chama cha CNDD-FDD) wamepinga kuripoti mbele ya polisi wa upelelezi wa

Security

Kivu-kaskazini: Jeshi na kundi la M23 wanapigana eneo la Rutshuru karibu na RN2

Mapigano kati ya jeshi la jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo na kundi la machi 23 yameshika kasi alhamisi hii 27 oktoba 2022 katika maeneo ya Chimirwa kwa takriban kilometa 4

Politic

Rwanda-DRC: DRC imetuhumu kwa mara nyingine Rwanda kusaidia kundi la M23 (tangazo)

Serikali ya Kongo imetuhumu kwa mara nyingine Rwanda kuunga mkono kundi la machi 23, kundi hilo la waasi linalopigana dhidi ya serikali ya jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, tunasoma hayo

Security

Kivu-kaskazini : vijiji vyasalia pasina wakaazi

Vijiji vingi katika eneo la Jomba wilaya ya Rutshuru mkoa wa Kivu kaskazini mashariki mwa DRC vimesabaki pasina wakaazi kutokana na mapigano kuibuka tena alhamisi kati ya jeshi la FARDC

Security

North-Kivu: villages are emptying of their populations

Several villages in the Jomba group, territory of Rutshuru in North-Kivu in Eastern DRC are being quitted their inhabitants following the renewal of fighting since last Thursday, between the FARDC

Security

Rwanda-DRC: DRC once again accuses Rwanda of supporting the M23 (press release)

The Congolese government has once again accused Rwanda of supporting the March 23 Movement (M23), a rebel movement fighting the government of the Democratic Republic of Congo (DRC), a statement

Refugees

Dzaleka (Malawi): general census of refugees

UNHCR and the Government of Malawi are undertaking a general census of all refugees living in Dzaleka camp. The UNHCR officials say they want to update refugee data in addition

Security

Ryansoro: a dead body spotted

The body of Donatien Nkurunziza, roughly 25 years, was found on Tuesday October 25, 2022 in a small bush, near a road on Mahwa village in the commune of Ryansoro

Politic

Burundi-UE: Umoja wa ulaya wamusafisha waziri mkuu Gervais Ndirakobuca

Umoja wa ulaya ulitangaza hatua ya kuondoa vikwazo dhidi ya viongozi wakuu wawili ambao ni waziri mkuu Gervais Ndirakobuca na jemedali Godefroid Bizimana, mmoja kati ya washahuri wa rais Ndayishimiye.

Politic

Rwanda-Burundi: Burundi yatangaza kufungua upya mipaka yake na Rwanda

Ni waziri wa Burundi wa ushirikiano wa kimataifa aliyetangaza hatua siku ya jumanne. Albert Shingiro hata hivyo alikariri nia ya serikali ya Burundi ya kuona Kigali inawafurusha wanamapinduzi inayowahudumia tangu