Politic
Kirundo : kiongozi wa Imbonerakure azuiliwa jela
Kiongozi wa Imbonerakure (mjumbe wa tawi la vijana la chama cha CNDD-FDD) mkaazi sa kata ya Nyange-Bushaza kwenye makao makuu ya Kirundo (Kaskazini mwa Burundi) amemaliza wiki moja akiwa katika
Masisi: wakaazi wanaomba amani kupatikana kabla ya kujiandikisha kwenye uchaguzi
Wananchi wakaazi wa wilaya ya Masisi katika mkoa wa Kivu-kaskazini wanatoa wito kwa viongozi kumaliza tatizo la usalama mdogo kabla ya kuanza kwa zoezi la kuorodhesha wapiga kura eneo hilo
RDC-EAC: mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC unaelekea kuanzishwa
Jumuiya ya Afrika mashariki inapanga kutuma wajumbe wa mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC ambao ni muhimu sana ili kumaliza mzozo. Hayo ni kulingana na tangazo lililowekwa
Bujumbura : chama cha CNL chazuiliwa kuadhimisha kumbukumbu ya miaka minne
Waziri wa mambo ya ndani na usalama aliamuru kupiga marufuku sherehe za maadhimisho ya miaka minne ya uhai wa chama cha CNL na zile za kutakiana rheli za mwaka mpya
DRC-EAC: en route to the establishment of a monitoring and verification mechanism in eastern DRC
The East African community plans to send a monitoring and verification mechanism to eastern DRC, a mécanism so crucial to end conflicts, said a press release published on the EAC
Bujumbura : suspension of the celebration of the 4th anniversary of the CNL party
The Minister in charge of Home Affairs and Security has decided to suspend the double ceremony of the celebration of the 4th anniversary of the CNL party and the exchange
Rwanda-DRC : jeshi la Kongo lapinga kuchokoza lile la Rwanda
Alhamisi hii, viongozi wa jeshi la Kongo eneo la Bukavu katika mkoa wa Kivu kusini (mashariki mwa DRC) walijieleza kuhusu kisa kilichoripotiwa na Rwanda siku moja kabla. Rwanda ilidai kuwa
Rwanda-DRC : the Congolese army denies having provoked that of Rwanda
This Thursday, Congolese army officials in Bukavu in the province of South Kivu (eastern DRC) reacted to the incident reported by Rwanda a day earlier. While Rwanda has spoken of
DRC-North Kivu: civil society urges people to boycott the electoral process
Civil society in Masisi, Rutshuru, Nyiragongo and Beni, calls on local residents not to enlist until security has stabilized in the armed conflict areas. In a press release on Wednesday,
Burundi: US fears imminent attacks
The US Embassy in Burundi has alerted its staff and American citizens to be more vigilant, fearing potential attacks in some areas of the country. The former central market of
