Security
Rwanda-DRC: DRC accuses Rwanda of planning a massacre of Congolese Tutsis in order to find an alibi to invade (press release)
In a press release, the Congolese army again accuses the Rwandan army of having sent troops to the province of North Kivu (eastern DRC) to occupy certain areas of this
Masisi (DRC) : the city of Kitshanga fell into the hands of the M23
Since Thursday evening, M23 rebels have taken control of the city of Kitshanga located some 80 kilometers northwest of the city of Goma, capital of the province of North Kivu
Makamba : three men including a school principal in detention for rape of minors
Three men are detained by the police in Makamba province (southern Burundi). Among them, the director of the basic school of Kigongo. The three men are accused of sexual rape
Nyarugusu (Tanzania): mkimbizi mwenye asili ya Burundi alipatikana akiwa maiti
Mkimbizi kutoka Burundi mwenye umri wa miaka takriban miaka 40 aliuwawa na watu wasiojulikana karibu ya kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu nchini Tanzania. Polisi inasema ni tukio la wizi lililokwenda
Rwanda-DRC : Kigali inadai kuwa aduwi wake peke katika ukanda huu ni Kinshasa
Waziri wa Rwanda wa diplomasia alikuwa bungeni alhamisi kwa ajili ya ” kueleza” wawakilishi hao wa wananchi kuhusu hali ya sasa ya ushirikiano wa Rwanda. Daktari Vincent Biruta alihakikisha kuwa
Beni: at least 18 injured in a recent homemade bomb blast
A bomb exploded on the evening of Wednesday January 25, 2023 in the city of Beni, in the province of North Kivu, eastern Congo. The findings of the first investigations
Kirundo : two men sentenced to life jail for the murder of a woman
It is the Kirundo court in northern Burundi that sentenced them. Among the defendants, the husband of the victim. The two men were tried in a flagrance trial. INFO SOS
Makamba : chumba cha kuhifadhi maiti hakifanyi kazi kwa takriban mwaka mmoja sasa
Kwa mjibu wa wafanyakazi kwenye hospitali hiyo ya Makamba ( kusini mwa Burundi) pamoja na familia zilizokosa watu, chumba cha kuhifadhi maiti sasa ni takriban mwaka mmoja kikiwa hakifanyi kazi.
Rwanda-DRC : jeshi la Rwanda lashambulia ndege ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya Kongo (Tangazo)
Serikali ya Kongo inatuhumu jeshi la Rwanda kushambulia ndege yake ya kivita ya Kongo ndani ya anga ya DRC. Ni kulingana na tangazo la viongozi wa Kongo la jumanne hii
Nyabitsinda: a CNL headquarters destroyed and burned
A CNL party headquarters on Nyaruganda hill was destroyed and burned during the night of 19 January. It is in the commune of Nyabitsinda (province of Ruyigi, eastern Burundi). The
