Security
Bujumbura : kwa mara nyingine, wakuu wa nchi za EAC watoa wito wa kusitisha vita mara moja
Kwa hali isiyo ya kawaida, wakuu wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki walikutana jumamosi tarehe 4 februari 2023 jijiji Bujumbura makao makuu ya kibiashara ya Burundi. Hali ya usalama
Mzozo mashariki mwa Kongo : askali mmoja wa kikosi cha umoja wa mataifa auwawa na mwingine kujeruhiwa vikali kutokana na shambulizi dhidi ya ndege la Monusco
Monusco (ujumbe wa umoja wa mataifa nchini DRC) umetangaza kifo cha askali wake kupitia tangazo. Ujumbe huo unafahamisha kuwa alifariki kutokana na shambulio dhidi ya moja kati ya ndege zake
Crise dans l’Est du Congo : un casque bleu tué et un autre gravement blessé dans une attaque contre un avion de la Monusco
La Monusco (Mission de l’organisation des Nations-Unies en RDC) a annoncé la mort de son casque bleu dans un communiqué. Elle informe qu’il est décédé à la suite de l’attaque
Rugombo: three bodies found in less than a week
The resurgence of murder cases on the hills of the commune of Rugombo, in the province of Cibitoke (north-west of Burundi) spark worries among the population. Three bodies were found
Ituri: nearly 140 civilians killed in January 2023
The figures were presented by the civil society in Ituri province in eastern DRC. The victims were killed in different localities of the province in attacks by armed groups. INFO
Rwanda: activists and journalists call on Rwandan authorities to investigate the death of journalist Ntwali
This Thursday evening, activists and journalists gathered at Baraza Media Lab, in the Kenyan capital Nairobi, in a vigil in memory of Rwandan journalist John Williams Ntwali, who died in
Rumonge: a child killed and two others injured in torrential rains
The province of Rumonge’s capital (south-west of Burundi) counted one death, two injuries and a dozen houses destroyed following torrential rains. A report shared by the administrative authorities who request
Mkutano wa baba François na waathiriwa wa mashariki mwa DRC: maumivu yenu ni maumivu yangu (baba mtakatifu)
Mkuu wa kanisa katoliki alikutana jumatano hii alasiri na wawakilishi wa wahanga wa maovu yanayotendeka mashariki mwa Kongi ambako makundi mengi ya silaha ya ndani na nje yanaripotiwa. Aliwapokea pia
Masisi : jeshi la FARDC linajaribu kuwaondoa waasi wa M23, waasi wamewashinda
Mapigano makali yaliripotiwa kati ya jeshi la Kongo na waasi wa M23 katika maeneo mengi ya wilaya ya Masisi ndani ya mkoa wa Kivu kaskazini mashariki mwa Kongo siku ya
DRC: jamii ya kimataifa yafumbia macho vurugu zinazowakabili wananchi wa Kongo (Baba mtakatifu François)
Baba mtakatifu François jumanne hii tarehe 31 januari alianza rasmi ziara ya siku sita barani Afrika. Anataraji kufanya siku nne nchini DRC na kumalizia siku zinazosalia nchini Sudan kusini. Alilaani
