Posts From Adam Ntwari
Karusi-Rumonge: mikoa hiyo imewapata magavana wapya
Léonard Niyonsaba na Dévote Nizigiyimana, wa kwanza ni gavana mpya wa mkoa wa Rumonge (Kusini-magharibi mwa Burundi) na mwingine ni gavana wa mkoa wa Karusi (Mashariki ya kati mwa Burundi).
Ituri: five corpses discovered in the village of Mabiti
The macabre discovery (two men, a woman and two girls) happened this Wednesday in the village of Mabiti. It is near the city of Komanda, Basili chiefdom in the territory
Kivu-kaskazini : vijiji vyasalia pasina wakaazi
Vijiji vingi katika eneo la Jomba wilaya ya Rutshuru mkoa wa Kivu kaskazini mashariki mwa DRC vimesabaki pasina wakaazi kutokana na mapigano kuibuka tena alhamisi kati ya jeshi la FARDC
Nyarugusu (Tanzania): Kampeni dhidi ya Malaria
Shirika la HCR kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania imeandaa Kampeni ya kunyunyizia dawa katika majumba, maeneo ya maji taka yaliyoganda pamoja pia na maeneo ya wazi yaliyo karibu na
Kakuma (Kenya) : Zaidi ya watu 200 wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi wakubaliwa
Zaidi ya watu 200 walipokelewa katika vituo viwili vya muda ndani ya kambi ya wakimbizi ya Kakuma kaskazini magharibi mwa Kenya mnamo siku zilizopita. Hayo ni wakati ambapo zaidi ya
Mahama (Rwanda): uncertain future for Burundian refugees
Several official and unofficial messages call on Burundian refugees from the Mahama camp in Rwanda to return “voluntarily” to their homes. Refugees fear their future is uncertain as they boubt
Burundi : vinywaji vya Brarudi kupanda bei
Tangu jumapili 16 oktoba, vinywaji vya Brarudi (Kiwanda cha kutengeneza vinywaji nchini Burundi) vilipandishwa bei. Bei ilipanda kati ya franka 200 na 700 kwa chupa moja. Wanunuzi wanalaani kuwa bei
Prince Louis Rwagasore: a hospital as sick as the patients it receives
Established in 1945, the Prince Louis Rwagasore hospital served to treat patients from the bourgeois class and wealthy people during the colonial and post-colonial period.It was admired and its colonial
Rumonge: the price of food products increasingly on the rise
Residents of the province of Rumonge (South-West of Burundi) warn of a continuous rise in the price of basic food products. In just two months, the price increase varies between
Ruyigi : a woman and a child injured with a machete in Kayongozi
Anne Nzeyimana was seriously injured with a machete on her face and both arms last Tuesday. The incident occured on the hill of Nkanda, in the Kayongozi zone, in the
