Human Rights
Mahama (Rwanda) : huduma mbaya za matibabu
Wakimbizi katika kambi ya Mahama wanalalamika kuwa hupewa huduma mbaya za matibabu kwenye vituo vya afya. Hali za dharura ndizo zinashughulikiwa peke. Hayo ni wakati mratibu mpya katika sekta ya
Kirundo : kiongozi wa Imbonerakure azuiliwa jela
Kiongozi wa Imbonerakure (mjumbe wa tawi la vijana la chama cha CNDD-FDD) mkaazi sa kata ya Nyange-Bushaza kwenye makao makuu ya Kirundo (Kaskazini mwa Burundi) amemaliza wiki moja akiwa katika
Masisi: wakaazi wanaomba amani kupatikana kabla ya kujiandikisha kwenye uchaguzi
Wananchi wakaazi wa wilaya ya Masisi katika mkoa wa Kivu-kaskazini wanatoa wito kwa viongozi kumaliza tatizo la usalama mdogo kabla ya kuanza kwa zoezi la kuorodhesha wapiga kura eneo hilo
Muramvya: the provincial prison remains overcrowded despite the release of around twenty detainees
Twenty-seven prisoners from Muramvya and Mwaro provinces (central Burundi) were released from Muramvya central prison earlier this month, as part of decongesting jails, prison officials say. However the move is
Photo of the week : Burundi : Burundian authorities have arrested the fifth activist and sent to jail the team suspected of funding terrorism
The minister in charge of internal affairs and security announced Thursday the arrest of another member of associations. This is Prosper Runyange, in charge of the land program within the
RDC-EAC: mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC unaelekea kuanzishwa
Jumuiya ya Afrika mashariki inapanga kutuma wajumbe wa mchakato wa kuhakiki na kufuatia hali mashariki mwa DRC ambao ni muhimu sana ili kumaliza mzozo. Hayo ni kulingana na tangazo lililowekwa
Goma: mwandishi wa habari Jimmy Shukrani Bakomera aachiliwa huru
Mwenzetu huyo amechikiwa huru ijumaa hii asubuhi. Alikuwa katika gereza la ANR ( idara ya ujasusi ya Kongo) katika mji wa Goma (makao makuu ya mkoa wa Kivu kaskazini) tangu
Burundi : viongozi wanahakikisha kukamatwa kwa mwanaharakati mwingine na kumuweka gerezani huku timu yote ikituhumiwa kufadhili ugaidi
Waziri anayehusika na mambo ya ndani na usalama alihakikisha rasmi kukamatwa kwa mjumbe mwingine a wa mashirika. Jina lake ni Prosper Runyange anayehusika na maswala ya ardhi katika shirika la
Goma: mwandishi wa habari azuiliwa na idara ya ujasusi
Jimmy Shukrani Bakomera mwandishi wa habari na ripota wa VOA (Sauti ya Amerika) Kirundi-Kinyarwanda anazuiliwa na idara ya ujasusi ya Kongo tangu alhamisi hii. HABARI SOS Médias Burundi Mwenzetu huyo
Burundi : authorities arrest the fifth activist, jail the team suspected of funding terrorism
The minister in charge of internal affairs and security announced Thursday the arrest of another member of associations. This is Prosper Runyange, in charge of the land program within the
