Goma : several private media deprived of access to information
Goma : several private media deprived of access to information
National and international media say they are excluded from covering facts that affect the current situation in the country and the region. Journalists protest against the fact that several activities
Lusenda-Mulongwe : njaa yapiga hodi katika kambi za wakimbizi kutoka Burundi
Wakimbizi wa kambi za Lusenda na Mulongwe katika wilaya ya Fizi mkoa wa Kivu ya kusini mashariki mwa DRC wanasema kuwa wanakabiliana na uhaba wa chakula. PAM (WFP) shirika la
Beni : zaidi ya watu 70 wauwawa katika kipindi cha siku 6
Zaidi ya watu 70 waliuwawa katika kipindi cha siku sita zilizopita katika wilaya ya Beni , Kivu kaskazini katika vijiji mbali mbali mashariki mwa DRC. Waliotekeleza mauwaji hayo ni waasi
Fizi : mapigano kati ya kundi la Mai Mai na Twirwaneho
Mapigano makali yanaripotiwa tangu asubuhi ya jumatatu hii kati ya kundi la Mai Mai Biloze Bishambuke dhidi ya wapiganaji wa kundi la silaha la Twirwaneho linaloundwa na vijana Banyamulenge. Makundi
Burundi : chama cha CNL kiliadhimisha miaka minne kwa shangwe
Chama cha CNL kiliandaa Kongamano la kawaida kuadhimisha miaka minne ya uhai wa chama hicho tarehe 12 machi. Mbele ya ma elfu ya wafuasi pamoja na wageni wakiwemo wajumbe wa
Goma: ma mia ya visa vya ubakaji yaripotiwa eneo la Kanyarutchinya
Visa vya unyanyasaji wa kijinsia viliongezeka katika kijiji cha Kanyarutchinya wilayani Nyiragongo na Bulengo magharibi ya mji wa Goma Kivu kaskazini tangu kuibuka tena kwa kundi la M23. Viongozi wa
Goma : hundreds of cases of sexual violence recorded in Kanyarutchinya
Cases of sexual violence, since the resurgence of the M23, have gone on the rise in the village of Kanyarutchinya, located in Nyiragongo territory and in Bulengo, west of the
DRC (Masisi) : M23 carries out violent attacks on FARDC positions around Sake
Violent fighting are going on between troops of the Democratic Republic of Congo (FARDC) and M23 rebels, since this Friday morning, in the villages of Nenero and Malehe, in the
Mahama (Rwanda) : the assassination of at least eight Burundian refugees creates psychosis
Criminality has increased over the past two weeks in the Mahama refugee camp, housing Burundians and Congolese in eastern Rwanda. The most targeted are Burundians while Congolese are singled out
Bubanza : kiongozi wa gereza kukamatwa na kupelekwa jela baada ya mfungwa kutoroka
Kiongozi wa gereza la Bubanza (magharibi mwa Burundi) Émile Nduwayo alisimamishwa jumatatu baada ya kuripoti mbele ya korti ya rufaa ya Bujumbura ( jiji la kibiashara). Faili hiyo ni baada
