Goma : several private media deprived of access to information

Politic

Goma : several private media deprived of access to information

National and international media say they are excluded from covering facts that affect the current situation in the country and the region. Journalists protest against the fact that several activities

Refugees

Lusenda-Mulongwe : njaa yapiga hodi katika kambi za wakimbizi kutoka Burundi

Wakimbizi wa kambi za Lusenda na Mulongwe katika wilaya ya Fizi mkoa wa Kivu ya kusini mashariki mwa DRC wanasema kuwa wanakabiliana na uhaba wa chakula. PAM (WFP) shirika la

Human Rights

Beni : zaidi ya watu 70 wauwawa katika kipindi cha siku 6

Zaidi ya watu 70 waliuwawa katika kipindi cha siku sita zilizopita katika wilaya ya Beni , Kivu kaskazini katika vijiji mbali mbali mashariki mwa DRC. Waliotekeleza mauwaji hayo ni waasi

Politic

Fizi : mapigano kati ya kundi la Mai Mai na Twirwaneho

Mapigano makali yanaripotiwa tangu asubuhi ya jumatatu hii kati ya kundi la Mai Mai Biloze Bishambuke dhidi ya wapiganaji wa kundi la silaha la Twirwaneho linaloundwa na vijana Banyamulenge. Makundi

Politic

Burundi : chama cha CNL kiliadhimisha miaka minne kwa shangwe

Chama cha CNL kiliandaa Kongamano la kawaida kuadhimisha miaka minne ya uhai wa chama hicho tarehe 12 machi. Mbele ya ma elfu ya wafuasi pamoja na wageni wakiwemo wajumbe wa

Security

Goma: ma mia ya visa vya ubakaji yaripotiwa eneo la Kanyarutchinya

Visa vya unyanyasaji wa kijinsia viliongezeka katika kijiji cha Kanyarutchinya wilayani Nyiragongo na Bulengo magharibi ya mji wa Goma Kivu kaskazini tangu kuibuka tena kwa kundi la M23. Viongozi wa

Human Rights

Goma : hundreds of cases of sexual violence recorded in Kanyarutchinya

Cases of sexual violence, since the resurgence of the M23, have gone on the rise in the village of Kanyarutchinya, located in Nyiragongo territory and in Bulengo, west of the

Politic

DRC (Masisi) : M23 carries out violent attacks on FARDC positions around Sake

Violent fighting are going on between troops of the Democratic Republic of Congo (FARDC) and M23 rebels, since this Friday morning, in the villages of Nenero and Malehe, in the

Security

Mahama (Rwanda) : the assassination of at least eight Burundian refugees creates psychosis

Criminality has increased over the past two weeks in the Mahama refugee camp, housing Burundians and Congolese in eastern Rwanda. The most targeted are Burundians while Congolese are singled out

Justice En

Bubanza : kiongozi wa gereza kukamatwa na kupelekwa jela baada ya mfungwa kutoroka

Kiongozi wa gereza la Bubanza (magharibi mwa Burundi) Émile Nduwayo alisimamishwa jumatatu baada ya kuripoti mbele ya korti ya rufaa ya Bujumbura ( jiji la kibiashara). Faili hiyo ni baada