Bujumbura: mripuko wa maradhi ya kipindupindu

Society

Bujumbura: mripuko wa maradhi ya kipindupindu

Takriban watu 17 walipatikana na ugongwa wa Kipindupindu katika tarafa ya Kinama (kaskazini mwa jiji la biashara la Bujumbura) kulingana na waakazi. Wanahakikisha kuwa watu wawili tayari walifariki dunia. Ni

Politic

Rwanda-DRC: jamii ya kimataifa inasifu amani ya mdomoni (Paul Kagame)

Imekuwa mara ya kwanza kwa rais wa Paul Kagame kuchukuwa muda mrefu kwa ajili ya kuzungumzia hali ya nje ya nchi yake na kujieleza katika lugha ya kingereza wakati akihutubia

Human Rights

Burundi: rais Neva anawatuliza watuhumiwa wanaofuatiliwa na ICC

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye aliongoza kipindi chake maluum kinachofunga mwaka na kuzungumzia maswala muhimu. Kati ya hayo, ni matamshi ya hivi karibuni ya ICC (mahakama ya kimataifa ya uhalifu

Security

Mutaho: aliyefanya mauwaji ya mrasibu wa kituo cha posta ahukumiwa kifungo cha maisha jela

Katika kesi ya mafumanio mbele ya chumba cha uhalifu cha mahakama kuu ya Gitega (mji mkuu wa kisiasa) jumamosi hii, Chadrack Irakoze (miaka 30) alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa

Politic

Rwanda-DRC: tuhuma za DRC kuwa Rwanda inafanya upelelezi dhidi yake ni ongezeko la vishawishi kwa wananchi kushambulia

Ofisi ya msemaji wa serikali ya Rwanda ilitoa tangazo ambamo inasema kuwa kisa cha kuwafunga wananchi wa Rwanda wawili katika mji mkuu wa Kongo kwa tuhuma za kufanya ujasusi ni

Security

Minembwe: the Congolese army and the Twirwaneho armed group have lost 11 elements

The FARDC (Armed Forces of the Democratic Republic of Congo) and the Twirwaneho armed group clashed on Thursday. Hostilities took place in different localities of Minembwe, an area populated by

Security

Minembwe: jeshi la Kongo na kundi la Twirwaneho walipoteza watu 11

FARDC (jeshi la jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo) na kundi la silaha la Twirwaneho walipigana siku ya alhamisi. Mapigano yalifanyika katika maeneo mbali mbali ya Minembwe, eneo linalokaliwa na wajumbe

Security

Beni: waasi nane wa ADF wauwawa

Jeshi la Kongo linafahamisha kuwa liliwauwa waasi nane na kuwakamata wengine 5 wa ADF (kundi la waasi wa Uganda) alhamisi hii katika kijiji cha Kisasu Ngandu. Ni katika wilaya ya

Security

Cibitoke: kilio cha raia waliofanyiwa mateso na kusikilizwa katika gereza la SNR mkoani

Habari zilizokusanywa kutoka eneo hilo zinasema kuwa watu wawili wanafanyiwa mateso katika gereza la SNR (idara ya kitaifa ya ujasusi) mkoani Cibitoke (kaskazini-magharibi mwa Burundi). Hali hiyo ni kwa kipindi

Security

Rwanda-DRC : spying accusations by the DRC presage an escalation of public incitement to violence

The office of the Rwandan government spokesperson released a statement saying the detention of two Rwandan citizens in the Congolese capital, Kinshasa, on charges of espionage portends an escalation in