Archive
Fizi : mapigano kati ya kundi la Mai Mai na Twirwaneho
Mapigano makali yanaripotiwa tangu asubuhi ya jumatatu hii kati ya kundi la Mai Mai Biloze Bishambuke dhidi ya wapiganaji wa kundi la silaha la Twirwaneho linaloundwa na vijana Banyamulenge. Makundi
Burundi : chama cha CNL kiliadhimisha miaka minne kwa shangwe
Chama cha CNL kiliandaa Kongamano la kawaida kuadhimisha miaka minne ya uhai wa chama hicho tarehe 12 machi. Mbele ya ma elfu ya wafuasi pamoja na wageni wakiwemo wajumbe wa
Goma: ma mia ya visa vya ubakaji yaripotiwa eneo la Kanyarutchinya
Visa vya unyanyasaji wa kijinsia viliongezeka katika kijiji cha Kanyarutchinya wilayani Nyiragongo na Bulengo magharibi ya mji wa Goma Kivu kaskazini tangu kuibuka tena kwa kundi la M23. Viongozi wa
Goma : hundreds of cases of sexual violence recorded in Kanyarutchinya
Cases of sexual violence, since the resurgence of the M23, have gone on the rise in the village of Kanyarutchinya, located in Nyiragongo territory and in Bulengo, west of the
DRC (Masisi) : M23 carries out violent attacks on FARDC positions around Sake
Violent fighting are going on between troops of the Democratic Republic of Congo (FARDC) and M23 rebels, since this Friday morning, in the villages of Nenero and Malehe, in the
Mahama (Rwanda) : the assassination of at least eight Burundian refugees creates psychosis
Criminality has increased over the past two weeks in the Mahama refugee camp, housing Burundians and Congolese in eastern Rwanda. The most targeted are Burundians while Congolese are singled out
Bubanza : kiongozi wa gereza kukamatwa na kupelekwa jela baada ya mfungwa kutoroka
Kiongozi wa gereza la Bubanza (magharibi mwa Burundi) Émile Nduwayo alisimamishwa jumatatu baada ya kuripoti mbele ya korti ya rufaa ya Bujumbura ( jiji la kibiashara). Faili hiyo ni baada
Mahama (Rwanda) : mauwaji ya angalau wakimbizi nane kutoka Burundi yasababisha wasi wasi
Uhalifu uliongezeka katika wiki mbili zilizopita ndani ya kambi ya Mahama mashariki mwa Rwanda, inayowapa hifadhi wakimbizi kutoka Burundi na Kongo. Wanaolengwa ni wakimbizi kutoka Burundi huku wale kutoka Kongo
Goma-Gavana mwanajeshi kwa wananchi: askali jeshi wa kikosi cha EAC sio maadui zetu
Gavana wa kijeshi wa mkoa wa kivu kaskazini aliwaomba wananchi wakaazi wa mkoa huo kuacha kushambulia kwa maneno askali waliotumwa mashariki mwa DRC chini ya kikosi cha kikanda cha jumuiya
Nduta (Tanzania) : kaburi labomorewa na viongozi kwa hoja tu ya kujengwa kwa simenti
Kitendo hicho kilicholaaniwa na wakimbizi kilitekelezwa kwenye kaburi la mkimbizi wa Burundi, aliyezikwa katika makaburi ya zone ya 9 ndani ya kambi ya Nduta. Ofisi ya mkuu wa kambi ilishuhudia
