Posts From SOS Médias Burundi
Mahama (Rwanda) : Bidhaa za vyakula zimepanda bei kwa kiwango kikubwa
Kwa kipindi cha angalau miezi mitano, takriban bidhaa zote mahitajio muhimu zilipanda bei mara dufu na hata mara tatu. Wakimbizi wanadai kuwa pesa wanazopewa hazitoshi kukidhi mahitaji yao hata kwa
Kivu-kaskazini : mandamano dhidi ya ziara ya rais Macron nchini DRC yanafahamisha bila ushawishi mkubwa
Mandamano hayo yaliandaliwa alhamisi hii mjini Goma tangu asubuhi. Makundi ya ushawishi pamoja vuguvugu la wananchi yanapinga ujio wa rais wa ufaransa Emmanuel Macron nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo.
Gitega: an alleged robber lynched by residents
An alleged thief was badly beaten with sticks and then finished off with clubs, being tied to a tree by angry residents. The incident took place on the Rukoba hill
Bujumbura : watetezi watano wa haki za binadamu waripoti mahakamani
Watetezi watano wa haki za binadamu waliripoti mahakamani jumatatu hii mchana. Kesi ilisikilizwa katika gereza kuu la Bujumbura maarufu Mpimba. Kulingana na sheria ya jinai nchini Burundi, uamzi ungetolewa jumatano
Mwaro: a teacher in detention
Marie Ndereyabandi, a teacher in the 5th primary school at the fundemental school of Gasenyi in the commune of Nyabihanga, in the province of Mwaro (central Burundi) is detained in
Meheba (Zambia) : the camp custody overwhelmed
Refugees detained in the Meheba camp in Zambia denounce poor detention conditions. The room that serves as a custody has no roof and is too narrow. It is overcrowded. INFO
Kirundo : an Imbonerakure leader in detention
The leader of the Imbonerakure (members of the CNDD-FDD party youth league) from the Nyange-Bushaza neighborhood in the urban center of Kirundo (northern Burundi) has just spent a week in
Masisi: wakaazi wanaomba amani kupatikana kabla ya kujiandikisha kwenye uchaguzi
Wananchi wakaazi wa wilaya ya Masisi katika mkoa wa Kivu-kaskazini wanatoa wito kwa viongozi kumaliza tatizo la usalama mdogo kabla ya kuanza kwa zoezi la kuorodhesha wapiga kura eneo hilo
Photo of the week : Burundi : Burundian authorities have arrested the fifth activist and sent to jail the team suspected of funding terrorism
The minister in charge of internal affairs and security announced Thursday the arrest of another member of associations. This is Prosper Runyange, in charge of the land program within the
Burundi : viongozi wanahakikisha kukamatwa kwa mwanaharakati mwingine na kumuweka gerezani huku timu yote ikituhumiwa kufadhili ugaidi
Waziri anayehusika na mambo ya ndani na usalama alihakikisha rasmi kukamatwa kwa mjumbe mwingine a wa mashirika. Jina lake ni Prosper Runyange anayehusika na maswala ya ardhi katika shirika la
